Kiongozi asiwe mdhaifu

Kiongozi asiwe mdhaifu

Dopas

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2010
Posts
1,151
Reaction score
392
Papa Francesco asubuhi katika misa yake ya kwanza amesema
-Uongozi ni utumishi
-kiongozi anapaswa kuwa mpole, lakini si mdhaifu
-tuna wajibu wa kuvilinda viumbe vyote vya mwenyezi Mungu: binadamu, mazingira na vyote vilivyomo
Nadhani haya maneno ya busara yanapaswa kuguswa uongozi wa Nchi yetu pia
 
Sisi viongozi wetu ni dhaifu na wenye roho mbaya mno kuliko hata lucifer
 
Back
Top Bottom