Kinyesi kutoa harufu kali

Kama si tatizo la kiafya(disease) Mpe Fanta Passion mbili kila siku ,moja mchana akishakula na nyingine usiku anapokaribia kulala kwa siku tatu tatizo litaisha,sifanyi utani na ulete majibu hapa jamvini
 
Wakati mnahangaikia soln mshauri awe anakwenda vyoo vya public kama vipo karibu au awe na ratiba ya kunya mkiwa hampo wakati huo huo ukijianda kuweka choo cha nje!
Pole ndo dunia na matatizo yake hayo
 
Hilo sio tatizo ni kawaida tu! ila umwambie awe anajitahidi sana kwenda sana chooni sio mpaka awe anajisikia! muwambie afanye routine kama ni mara 2 kwa siku na atazoea na atakuwa anafanya hivyo automatically maana atakuawa anaisikia kila muda ukifika. Chakula kinachukua up to 24 hours kuwa digested, na lazima kitoke sasa kama anakaa muda mrefu bila kwenda choo akitegema ati mpaka ajisikie huwa ni matatizo sababu ya msongamano wa wastes ndani ya matumbo yake! akizoea hii routine basi atapeta!
 
Kuna chemikali inaitwa Bilirubin inapatkana kwenye nyongo, kazi yake ni kupunguza harufu ya kinyesi huenda ana tatizo la kutokuwa nayo ya kutosha .
your post sound good, ni ya kisayansi zaidi
 
Kama si tatizo la kiafya(disease) Mpe Fanta Passion mbili kila siku ,moja mchana akishakula na nyingine usiku anapokaribia kulala kwa siku tatu tatizo litaisha,sifanyi utani na ulete majibu hapa jamvini

hii nitajaribu thanks
 
We funza Dume kwani kinyesi chako kinanukia vizuri? Tatizo wewe unaweza kuvumilia harufu ya cha kwako na yeye binti anavumilia chakwake. Jaribu kupa Cheese mara kwa mara kitanukia vizuri...
 
Kama si tatizo la kiafya(disease) Mpe Fanta Passion mbili kila siku ,moja mchana akishakula na nyingine usiku anapokaribia kulala kwa siku tatu tatizo litaisha,sifanyi utani na ulete majibu hapa jamvini
Pia anaweza kutumia ndizi mbivu wakati wa kila mlo. Wakati mwingine tatizo hili husababishwa na ubaguzi i.e kupewa chakula tofauti na mnachokula, kama vile ukoko badala ya wali, japo wachangiaji wameogopa kulitaja hili.
 
Causes of Abnormal Foul Smelling, Bad Odor, Unusual Looking or Floating of Your Poop Stool(s)

It is normal for your poop or stool, whichever your prefer, to have an unpleasant odor. The normal look of poop is brown, soft and formed.

The look and foul smell of yours is fairly recognizable by you because of your dietary routine. Diet is the most notable cause of short term smell and look stool poop changes.

Anytime you consume food that is out of your ordinary diet, your poop may come out looking and smelling unfamiliar, with a possible floating lightness. This may just be a passing phase. After the stuff, causing the unusual look and smell, clears your digestive system, your toilet bowl deposit should return to that recognizable normal foul odor.

However, if your stools have an extremely foul smell, out-of-the-ordinary bad odor, not looking normal or float with regularity, this may be sign of a medical conditions.
Some conditions that may be the cause of your highly unpleasant smelling, looking and/or floating dietary excretions include:
and/or floating dietary excretions include:


  • hepatitis
  • liver disease
  • celiac disease
  • cystic fibrosis
  • malabsorption
  • crohn’s disease
  • ulcerative colitis
  • infectious colitis
  • Whipple disease
  • pancreatic cancer
  • chronic pancreatitis
  • cholangiocarcinoma
  • short bowel syndrome
  • disaccharidase deficiency
  • bile duct disorders ~ biliary atresia
  • fatty stools without a known cause
If your stool look and smell does not return to “your normal” after a dietary caused change, or they are not routinely brown, soft and formed looking, get with your doctor to check out what the poop is going on.

 
KAUSHAURI KADOGO. Swali je anakwenda kupupu marangapi kwa siku. Mara nyingi huwa mtu anakula milo mitatu kamakawaida lakini anakwenda pupu mara chache sana wakati mwingine anaruka siku moja mpaka mbili, siku akienda pupu mpaka mtaa wa pili watasikia harufu.
 
Habari za leo wapenzi wa JF Doctor,Kuna tatizo analo mfanyakazi wangu wa ndani la kujisaidia kinyesi chenye harufu kali sana kiasi kwamba kama akijisahidia harufu inatawala nyumba nzima mpk kero. Tumejaribu kumshauri anywe maji kwa wingi na kula vyakula laini na mapapai lakini bado haisaidii. Tumeishi nae kwa miaka mitatu sasa akiwa na hilo tatizo kiasi kwamba nafikiria kujenga choo cha nje kwa ajili yake maana amekuwa kama ndugu sasa.Swali langu kwenu ni je kuna tiba yeyote juu ya tatizo hili? Naomba ushauri ndg zangu, serious
Funzadume hakika hilo tatizo lina tiba,kwanza elewa kuwa tunapokula chakula siyo chote kinakuwa digested.Kuna kitu kinaitwa clogged faeces katika ktk digestive sysytem,na hii ndo chanzo kikubwa sana cha kinyesi kunuka.Dalili ya kuwa na clogged faeces ni kukosa au kupata choo kidogo pindi mtu anapojisikia haja kubwa.kunuka mdomo,kukosa hamu ya kula,ngozi kutokuwa nyororo.Tiba ziko nyingi moja wapo ni kupigwa bomba au kutumia dawa.siku hizi kuna dawa toka china na malaysia zinazoondoka hizi clogged faeces.
 
pole ndugu yangu umefanya reserch ya kutosha kwa mfano akijamba inakuwaje?pia na kushauri mpeleke kwa babu loliondo atapona tu.
Nashauri aangaliwe kama analiwa tigo..wakati mwingine inasumbua..kuna jamaa zangu waliishi na 'GAY' wanadai hali pia ilikuwa mbaya...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom