Kinyago Udsm kina Maana gani?

pepo ya Mabwege

Senior Member
May 18, 2017
138
117
Naomba kuuliza ile sanamu ya MTU aliyefungwa ninyororo mikono yake miwili , ikiwa imekatika au kuachana katikati, eneo la chuo kikuu cha DSM ( sanamu hii ipo katikati ya Geti Maji na Utawala) mkono Wa kulia kama unaelekea utawala,

Naomba kuuliza ina maana gani na imewekwa na nani kati ya chuo na Serikali ya wanafunzi.



Gafla nimekumbuka nyimbo za sarafina.
 
Watu wa kolomije hata Dar hawaijui, sasa bila picha watakuelewa kweli!?
 
vp umepitapo usiku huu, siku nyingine ukipita eneo la chuo uombe ruksa....maana hata kutafsir picha napo nishida
 
312d4d807d93c46da72c105ea474c8ff.jpg
652891b1f635977ced283c994cda8950.jpg
 
Back
Top Bottom