Elections 2010 Kinondoni Need MP like Mpoki Mwambuluku

Hivi huyu si ndiyo mtoto wa mbuge wa zamani wa Rungwe? Nakumbuka alipachikwa pale Rungwe Secondary bila kufauru halafu baba yake alipopata tu Uwaziri akataka ahame akasome ilboru shule ya watoto wa vigogo na akaitosa shule kwanza aliyopachikwa pili iliyokuwemo kwenuye jimbo lake la nyumbani ambalo baba yake ni mbuge.

Dogo usirudi tukuyu baki huko huko Kinondoni

Naona sasa tunaanza kupika zengwe badala ya kujadili issues. Kama jamaa ni kilaza alipachikwa tu Rungwe sekondari, ilikuwaje mpaka akasoma huko alikosoma, au nako baba yake alimpachika kwa kuwa alikuwa mbunge, balozi na waziri? Nafuatlia habari za huyu jamaa lkn so far naona km baba yake si mtu wa namna hiyo(at least bado sijasikia scandal zake), na yeye mwenyewe anaonekana kama ni mtu wa kawaida sana na binadamu wa kawaida tu. Sio kama wale wanaovaa nyadhifa za baba zao.

Ni vizuri tukijadili issues na siyo kuanza majungu.
 
Hivi huyu si ndiyo mtoto wa mbuge wa zamani wa Rungwe? Nakumbuka alipachikwa pale Rungwe Secondary bila kufauru halafu baba yake alipopata tu Uwaziri akataka ahame akasome ilboru shule ya watoto wa vigogo na akaitosa shule kwanza aliyopachikwa pili iliyokuwemo kwenuye jimbo lake la nyumbani ambalo baba yake ni mbuge.

Dogo usirudi tukuyu baki huko huko Kinondoni

Mwongo wewe....Subiri Mtanzania arudi maana ndo anakuweza wewe..ukongoroke kwa jina la yesu
 
Mpaka sasa imethibitika kabisa kuwa wanaojiita wapiganaji ndani ya CCM si lolote si chochote kwani wanapowekwa kiti moto kwenye vikao vya chama wananywea kama wamemwagiwa maji baridi. Wabunge wa CCM pamoja na kupayukapayuka ndani ya Bunge hali inakuwa tofauti pale wanapovua suti zao na kuvaa nguo za kijani - inakuwa ni unafiki kwa kwenda mbele. CCM imejaa wasomi wa fani zote tangu maprofesa wa siasa hadi madaktari wa sheria, tangu wachumi hadi wahandisi na tangu wataalamu wa kilimo hadi wasanii - je ni kitu gani kinawasukuma hadi wote wasahau wajibu wao kwa wananchi ? Jibu ni kuwa Chama kimetekwa nyara na watu ambao maendeleo ya taifa la Tanzania si kipaumbele tena kwao na wamewageuza viongozi wetu kuwatumikia badala ya sisi. Hivyo mtu mwenye uchungu kabisa na hili taifa na mwenye lengo la kulikomboa kutoka mikononi mwa hawa mafisadi hawezi kufanikiwa kwa kujiunga na CCM, period.

Sasa huyu ambaye pamoja na kisomo kinachotembezwa kama vitumbua vya mama ntilie lazima tujiulize kitu gani kinamfanya akimbilie CCM, chama kilichoshindwa kuiendeleza nchi kwa takriban miaka hamsini. Kwa nini anataka kutuaminisha kuwa yawezekana chama kikafanya kile kile kwa kutegemea watu wale wale, kwa mfumo ule ule lakini tukapata matokeo tofauti. Kama kweli huyo dogo kama anavyoitwa ameishi ughaibuni kwa miaka yote hiyo kwa nini hajajifunza kuwa kwa wenzetu ukiboronga unawekwa benchi na nafasi anapewa mwingine ? Je huyu dogo ana nguvu gani zaidi ya waliomtangulia waliojaribu kufikiri wangeweza kupambana na mafisadi ndani ya CCM wakaishia kulamba matapishi yao. Hapana, nakataa kata kata kuwa huyu Mpoki hasukumwi na kile kinachowasukuma wasomi wenzake kuikumbatia CCM, tamaa - more over, birds of a feather fly together !

Karibu sana kwenye kambi ya wanafiki kijana Mpoki, lakini ukae ukijua moto umewashwa na wazalendo ambao wameamua kutoendelea kuukumbatia huu utawala mbovu na wanasema hapana, imetosha. Huku ujue utapigana vikumbo na akina Rostamu, Patel, Manji na wengineo - ole wako uwakwaze, utajutia kilichokutoa huko majuu labda uwe tayari kuchafuka kwa siasa ya maji taka. Mkuu Mtanganyika ama nikuite mdanganyika, sina hakika una undugu gani na huyu Mpoki au wewe ndiye yeye lakini kwa kampeni hii unayompigia hapa nashindwa kukuelewa kama kweli unamsaidia. Kwa ufahamisho tu ndugu yangu, Watanzania wanaamka na huko tunakoelekea kuvika watu vilembwa vya ukoka kwa sababu tu wanatetea status quo au kwa sababu tu wamelelewa ndani yake, hakutauzika tena. It is not too late, bado anaweza kudandia meli ya ukombozi kama haijatia nanga. Wasalaam !
 
Kwa kweli nigependa sana kumjua zaidi huyu jamaa kabla sijatoa mtazamo wangu. Lakini kwa ujumla nina mashaka makubwa sana na hawa FLY IN CANDIDATES wa mwaka huu. Pia naamini kuna wengi ambao wamekua mstari wa mbele katika hizi mashrooming social entreprises katika nchi yetu kwa nia ya kujenga mazingira ya uheshimiwa na kufaidisha matumbo yao zaidi ya kukerwa na matatizo ya jamii kama ambavyo wanapenda kujifaragua.

Na pia unaponiambia kuwa mtu amekuja nchini kwa mwaka mmoja na kufanya kazi ama utafiti wake tena kuhusu kilimo vijijini ni wasifu wa kutosha kuwa mbunge wa jimbo la jijini kama kinondoni kwa kweli hoja haina mshiko. Hii inanikumbusha suala la so called Africa Experts/Tanzania Experts katika asasi ama serikali mbalimbali huko ughaibuni ambao ukiangalia background zao waliwahi kuwepo huko wanapokuongelea kwa miezi kadhaa ya exchange programe ambayo most of the time hutumia kutalii na kuandika utafiti wa kurasa hamsini halafu tayari wao ndio wenye sauti ya kuzungumzia jinsi gani ya kutatua matatizo yetu.

Ni kweli tunahitaji vijana wasomi lakini usomi huo uendane na kujua, kutambua na kutathmini kwa undani matatizo ya Tanzania na mazingira yake lakini pia historia na matumaini ya mtanzania katika muktadha wa hali halisi ya nchi yetu na sio utume wa kimagharibi katika ngozi ya utanzania. Na hili haliwezi kujengeka kwa mwaka mmoj wa kuishi Tanzania baada ya miaka zaidi ya kumi ya kuishia na kusomea ughaibuni.

Kama nilivyoasa mwanzoni, mimi binafsi simjui vilivyo Mpoki ingawa jina lake sio geni kwangu lakini kwa kufuata mjadala na upigaji debe humu ndani hiyo ndiyo taswira ninayoipata. Lakini pia ni mkazi wa kinondoni hivyo ugombea wake ni muhimu kwangu.

By the way, ana mahusiano yoyote na Mwambulukutu wa Serikalini???

Omarilyas
 
Mwongo wewe....Subiri Mtanzania arudi maana ndo anakuweza wewe..ukongoroke kwa jina la yesu

Ukweli unauma sana eeehe. Mimi nilitaka kusema kuwa huyu ni wale wale tu na ndiyo maana akakimbilia CCM. Mtanzania tunamsubiri sana arudi huku tuendeleze javi, 2015 anaweza kupata ubunge ni mtu mzuri -kutumwa tu!
 
Naona sasa tunaanza kupika zengwe badala ya kujadili issues. Kama jamaa ni kilaza alipachikwa tu Rungwe sekondari, ilikuwaje mpaka akasoma huko alikosoma, au nako baba yake alimpachika kwa kuwa alikuwa mbunge, balozi na waziri? Nafuatlia habari za huyu jamaa lkn so far naona km baba yake si mtu wa namna hiyo(at least bado sijasikia scandal zake), na yeye mwenyewe anaonekana kama ni mtu wa kawaida sana na binadamu wa kawaida tu. Sio kama wale wanaovaa nyadhifa za baba zao.

Ni vizuri tukijadili issues na siyo kuanza majungu.

Nani aliyekuambia kuwa waliofeli Darasa la saba hawana akili? mbona wako wengi tu na wengine ni maprofesa? Mimi nilitaka kufikisha ujumbe kuwe huyu ni wa kizazi kile kile cha typical wana CCM waliotayari kupindisha sheria wakiwa na madaraka. KWeli yeye ni binadamu wa kawaida sidhani kama kuna siku urifikiria kuwa alikuwa malaika. Fuatilia mpaka south Africa ndiyo utajua kazi aliyoifanya baba yake. Zile nyumba kama wangezijenga (yeye na viongozi wa awamu ya tatu)hapa ingalau zingechangia uchumi wetu.
 
Ukweli unauma sana eeehe. Mimi nilitaka kusema kuwa huyu ni wale wale tu na ndiyo maana akakimbilia CCM. Mtanzania tunamsubiri sana arudi huku tuendeleze javi, 2015 anaweza kupata ubunge ni mtu mzuri -kutumwa tu!

Duh Shalom ulikuwepo kampeni za leo nini?.Dr.aliongea hivyo hivyo kama wewe.."Wazee wangu nipeni nafasi nyingine,nilianza na Kikwete na nataka nimalize naye miaka kumi..2015 nitamwachia Kijana wetu mnae muona hapa."
 
Nani aliyekuambia kuwa waliofeli Darasa la saba hawana akili? mbona wako wengi tu na wengine ni maprofesa? Mimi nilitaka kufikisha ujumbe kuwe huyu ni wa kizazi kile kile cha typical wana CCM waliotayari kupindisha sheria wakiwa na madaraka. KWeli yeye ni binadamu wa kawaida sidhani kama kuna siku urifikiria kuwa alikuwa malaika. Fuatilia mpaka south Africa ndiyo utajua kazi aliyoifanya baba yake. Zile nyumba kama wangezijenga (yeye na viongozi wa awamu ya tatu)hapa ingalau zingechangia uchumi wetu.

Mkuu what you have said is actually a fact, binafsi sikuona umuhimu wa kuongelea hili ndani ya huu mjadala lakini as part of vetting naona kuna haja Mtanganyika na wanaccm wa Kinondoni wakafahamu. Hasa ukizingatia mgombea anajitangaza kwa msisitizo thru academic achievements. Anyways kama kuna mtu ni mwanaccm wa Kinondoni na in anyhow ata - attend hiyo mikutano ya kampeni amuulize Mpoki the following.

Je alipomaliza Arusha school alifaulu kwenda shule gani?????????? Na ni kwa nnini alihama shule hiyo na kwenda Rungwe sec.??????
 
Mkuu what you have said is actually a fact, binafsi sikuona umuhimu wa kuongelea hili ndani ya huu mjadala lakini as part of vetting naona kuna haja Mtanganyika na wanaccm wa Kinondoni wakafahamu. Hasa ukizingatia mgombea anajitangaza kwa msisitizo thru academic achievements. Anyways kama kuna mtu ni mwanaccm wa Kinondoni na in anyhow ata - attend hiyo mikutano ya kampeni amuulize Mpoki the following.

Je alipomaliza Arusha school alifaulu kwenda shule gani?????????? Na ni kwa nnini alihama shule hiyo na kwenda Rungwe sec.??????

Kwanini wasiulize masuali yanayihusu issues muhimu, kama alisoma Muhimbili, upanga, kitope whatever how is it going to help Kinondoni? Kama alisoma kwa jia ya mkato itawasaidia nini? Hata kama baba yake alifanya ujanja, can we hold him accountable for what his dingi did when he was 12? isn't it pathetic?
 
Mpaka sasa imethibitika kabisa kuwa wanaojiita wapiganaji ndani ya CCM si lolote si chochote kwani wanapowekwa kiti moto kwenye vikao vya chama wananywea kama wamemwagiwa maji baridi. Wabunge wa CCM pamoja na kupayukapayuka ndani ya Bunge hali inakuwa tofauti pale wanapovua suti zao na kuvaa nguo za kijani - inakuwa ni unafiki kwa kwenda mbele. CCM imejaa wasomi wa fani zote tangu maprofesa wa siasa hadi madaktari wa sheria, tangu wachumi hadi wahandisi na tangu wataalamu wa kilimo hadi wasanii - je ni kitu gani kinawasukuma hadi wote wasahau wajibu wao kwa wananchi ? Jibu ni kuwa Chama kimetekwa nyara na watu ambao maendeleo ya taifa la Tanzania si kipaumbele tena kwao na wamewageuza viongozi wetu kuwatumikia badala ya sisi. Hivyo mtu mwenye uchungu kabisa na hili taifa na mwenye lengo la kulikomboa kutoka mikononi mwa hawa mafisadi hawezi kufanikiwa kwa kujiunga na CCM, period.

Barabara,

Haiwezekani mtu anakaa kutuhubiria kuwa anataka mabadiliko wakati ana-crave kuwa part of status quo. This is a straightforward contradiction. Umetoa mfano maridhawa wa hao wanasarakasi wanaoitwa 'wapiganaji' it is all the same old story.

Hakuna jipya.
 
Kwanini wasiulize masuali yanayihusu issues muhimu, kama alisoma Muhimbili, upanga, kitope whatever how is it going to help Kinondoni? Kama alisoma kwa jia ya mkato itawasaidia nini? Hata kama baba yake alifanya ujanja, can we hold him accountable for what his dingi did when he was 12? isn't it pathetic?

Mkuu hii ofcourse haiwasaidii lolote watu wa Kinondoni lakini inaexpose hypocrisy behind this candidate na wapambe wake.

Hata kama baba yake alifanya ujanja, can we hold him accountable for what his dingi did when he was 12? isn't it pathetic?

Naam this is wht everyone would think, lakini for a guy anayeamua kutembea na vyeti kwenye kampeni as a proof for his qualifications naamini kuna haja basi ya kufahamu the whole background kuhusu hiyo academic achievements. Well this might sound too personal au some sort of character assasination lakini don't we see tht voters have a right to know kuhusu full academic background ya mgombea aliyesoma sana na anatembea na proof of that?
 
Kwa mara nyingine, naheshimu mitazamo ya pande zote mbili za shilingi. Kwa wale mnao hoji elimu ya darasa la saba, nadhani ni haki yenu ya kimsingi kujadili au kwa wale mnaohoji elimu yake ya juu ya uchumi pia mnahaki hiyo.

Lakini mwisho wa siku tujiulize swala moja tuu? Jee are we going to be better off with the same suit? Same people who put Tanzania in the deep hole to begin with? Or we're going to hire new driver who will take us out of this deep hole?

Kwa wale ambao bado mnaamini kwamba CCM ni wale wale tuu tofauti ni rangi za mashati, ukweli ni kwamba ni CCM hiyo hiyo iliyo mzaa Mwakyembe ambae ni shujaa wa kila mwanapinduzi. We're the new youth.... " The new youth of Africa is not the survile youth of yesterday.In many ways he is more conscious of his political responsibility" (Prof A.M Babu in his book African Socialism or Socialist Africa).

My reason to quote the above statement is the fact that, Tanzania ya leo inavijana wenye njaa ya maendeleo, iwe kijana kama Mpoki au Mnyika au Zito au January, vijana hawa wote wana njaa ya maendeleo. Ndugu yangu Mtanzania, kijana mwezangu ni muda wa kusimama kidete na kuchagua vijana ambao tunashare nao views, vijana wenye vigezo na taaluma, vijana ambao wanaamini check and balance should be part of us. Vijana ambao wana elewa kwamba katiba yetu inampa raisi rungu kubwa sana, vijana ambao wanafahamu kwamba Makatibu wa Wizara wanapewa fedha lakini hawaambiwi walete matumizi, Vijana ambao wanaelewa kwamba Magereza yetu yamejaa watuhumiwa ambao wengine wamefungwa bila kufuata utawala wa sheria. Vijana ambao wanaelewa kwamba Kuomba Omba Ulaya sio njia Mbadala ya kusolve matatizo. Vijana wanaofahamu maana ya Fiscal responsibilities. Vijana wanaolewa kwamba thamani ya VX inaweza kuleta dawa jimboni kwangu na kina mama wakafaidika. Vijana ambao wanafahamu kwamba mfumo wetu wa elimu ni tasa na umejengwa ili ubomoke.... Vijana ambao wanafahamu madeni yatatufikisha pabaya. Vijana wanaofahamu kwamba Bank Kuu inatiji uhuru wa kusimama pekeyake na ikatazama mfumo wa fedha na serikali ikatazama mfumo wa kodi. Vijana ambao watasema No kwa wahisani na Bank Ya dunia. Vijana ambao watahoji nguvu ya bunge..... Tunaitaji Vijana kama Mpoki... Kuchagua Mpoki kwa kinondoni ni atua moja.... Aluta continua

Ni muda wa kufukuza wazee walioshindwa ambao wametufikisha hapa tulipo, hakuna wakati wa kupoteza. We already lost 47 ( the other two was to learn system) years kwa kufanya upuuuzi. Tuchagueni vijana wenye vigezo vya kuchaguliwa. Chagua Mpoki
 
Kwa mara nyingine, naheshimu mitazamo ya pande zote mbili za shilingi. Kwa wale mnao hoji elimu ya darasa la saba, nadhani ni haki yenu ya kimsingi kujadili au kwa wale mnaohoji elimu yake ya juu ya uchumi pia mnahaki hiyo.

Lakini mwisho wa siku tujiulize swala moja tuu? Jee are we going to be better off with the same suit? Same people who put Tanzania in the deep hole to begin with? Or we're going to hire new driver who will take us out of this deep hole?

Kwa wale ambao bado mnaamini kwamba CCM ni wale wale tuu tofauti ni rangi za mashati, ukweli ni kwamba ni CCM hiyo hiyo iliyo mzaa Mwakyembe ambae ni shujaa wa kila mwanapinduzi. We're the new youth.... " The new youth of Africa is not the survile youth of yesterday.In many ways he is more conscious of his political responsibility" (Prof A.M Babu in his book African Socialism or Socialist Africa).

My reason to quote the above statement is the fact that, Tanzania ya leo inavijana wenye njaa ya maendeleo, iwe kijana kama Mpoki au Mnyika au Zito au January, vijana hawa wote wana njaa ya maendeleo. Ndugu yangu Mtanzania, kijana mwezangu ni muda wa kusimama kidete na kuchagua vijana ambao tunashare nao views, vijana wenye vigezo na taaluma, vijana ambao wanaamini check and balance should be part of us. Vijana ambao wana elewa kwamba katiba yetu inampa raisi rungu kubwa sana, vijana ambao wanafahamu kwamba Makatibu wa Wizara wanapewa fedha lakini hawaambiwi walete matumizi, Vijana ambao wanaelewa kwamba Magereza yetu yamejaa watuhumiwa ambao wengine wamefungwa bila kufuata utawala wa sheria. Vijana ambao wanaelewa kwamba Kuomba Omba Ulaya sio njia Mbadala ya kusolve matatizo. Vijana wanaofahamu maana ya Fiscal responsibilities. Vijana wanaolewa kwamba thamani ya VX inaweza kuleta dawa jimboni kwangu na kina mama wakafaidika. Vijana ambao wanafahamu kwamba mfumo wetu wa elimu ni tasa na umejengwa ili ubomoke.... Vijana ambao wanafahamu madeni yatatufikisha pabaya. Vijana wanaofahamu kwamba Bank Kuu inatiji uhuru wa kusimama pekeyake na ikatazama mfumo wa fedha na serikali ikatazama mfumo wa kodi. Vijana ambao watasema No kwa wahisani na Bank Ya dunia. Vijana ambao watahoji nguvu ya bunge..... Tunaitaji Vijana kama Mpoki... Kuchagua Mpoki kwa kinondoni ni atua moja.... Aluta continua

Ni muda wa kufukuza wazee walioshindwa ambao wametufikisha hapa tulipo, hakuna wakati wa kupoteza. We already lost 47 ( the other two was to learn system) years kwa kufanya upuuuzi. Tuchagueni vijana wenye vigezo vya kuchaguliwa. Chagua Mpoki

What makes you think Mpoki is not the same suit? same party, same circles (baba balozi na kada wa siku nyingi wa chama) no istinction in achievement, shallow minded to the point of walking with his paper qualifications perhaps in view of lacking any other qualifications.

Kwa nini unafikiri huyu mtu atafanya chochote tofauti ? Nipe sababu za msingi, nakusubiri.

Kama tatizo ni uzee mbona tuna vijana kina Lau Masha, Adam Malima na Emmanuel Nchimbi? Wamefanya nini ?
 
Mkuu what you have said is actually a fact, binafsi sikuona umuhimu wa kuongelea hili ndani ya huu mjadala lakini as part of vetting naona kuna haja Mtanganyika na wanaccm wa Kinondoni wakafahamu. Hasa ukizingatia mgombea anajitangaza kwa msisitizo thru academic achievements. Anyways kama kuna mtu ni mwanaccm wa Kinondoni na in anyhow ata - attend hiyo mikutano ya kampeni amuulize Mpoki the following.

Je alipomaliza Arusha school alifaulu kwenda shule gani?????????? Na ni kwa nnini alihama shule hiyo na kwenda Rungwe sec.??????

Mimi sina tatizo na mpoki huyu ni dogo wangu tu ila ukweli utabaki kuwa ukweli daima. Nimefurahi pia kuona kuwa amepata madegree mengi kiasi hicho lakini hakuna mtu wa kutustopisha tusihoji njia aliyotumia baba yake. Huyu alisoma private school baba yake akataka kumpeleka ilboru shule ya watoto vigogo akaona kumpeleka moja kwa moja itakuwa soo ikabidi ampitishie Rungwe secondary kwanza. KWa mtizamo wangu mimi Rungwe sec school ilikuwa bora kuliko ilboru ila kwa mtizamo wa viongozi wetu wameiua Rungwe na baba yake mpoki akiwa ni mmoja wapo. Hilo mimi sitawasemehe hawa baba zake mpoki na nitawapatiliza mpaka watoto zao. Rungwe ilikuwa ni shule bora Tanzania kwa nini wameitenda vile ? au kwa sababu walikuwa wanasoma watoto wa masikini?
 
Hivi huyu si ndiyo mtoto wa mbuge wa zamani wa Rungwe? Nakumbuka alipachikwa pale Rungwe Secondary bila kufauru halafu baba yake alipopata tu Uwaziri akataka ahame akasome ilboru shule ya watoto wa vigogo na akaitosa shule kwanza aliyopachikwa pili iliyokuwemo kwenuye jimbo lake la nyumbani ambalo baba yake ni mbuge.

Dogo usirudi tukuyu baki huko huko Kinondoni

Hayo mengine siyajui lakini hapo umepotoka.
 
Mtanganyika said:
My reason to quote the above statement is the fact that, Tanzania ya leo inavijana wenye njaa ya maendeleo, iwe kijana kama Mpoki au Mnyika au Zito au January, vijana hawa wote wana njaa ya maendeleo. Ndugu yangu Mtanzania, kijana mwezangu ni muda wa kusimama kidete na kuchagua vijana ambao tunashare nao views, vijana wenye vigezo na taaluma, vijana ambao wanaamini check and balance should be part of us. Vijana ambao wana elewa kwamba katiba yetu inampa raisi rungu kubwa sana, vijana ambao wanafahamu kwamba Makatibu wa Wizara wanapewa fedha lakini hawaambiwi walete matumizi, Vijana ambao wanaelewa kwamba Magereza yetu yamejaa watuhumiwa ambao wengine wamefungwa bila kufuata utawala wa sheria. Vijana ambao wanaelewa kwamba Kuomba Omba Ulaya sio njia Mbadala ya kusolve matatizo. Vijana wanaofahamu maana ya Fiscal responsibilities. Vijana wanaolewa kwamba thamani ya VX inaweza kuleta dawa jimboni kwangu na kina mama wakafaidika. Vijana ambao wanafahamu kwamba mfumo wetu wa elimu ni tasa na umejengwa ili ubomoke.... Vijana ambao wanafahamu madeni yatatufikisha pabaya. Vijana wanaofahamu kwamba Bank Kuu inatiji uhuru wa kusimama pekeyake na ikatazama mfumo wa fedha na serikali ikatazama mfumo wa kodi. Vijana ambao watasema No kwa wahisani na Bank Ya dunia. Vijana ambao watahoji nguvu ya bunge..... Tunaitaji Vijana kama Mpoki... Kuchagua Mpoki kwa kinondoni ni atua moja.... Aluta continua

Mtanganyika,

..huwezi kuwa na mawazo kama hayo halafu ukaendelea kuwa mwanachama wa CCM.

..Dr.Slaa alipendekeza mishahara na mafao ya wabunge yamepunguzwe. ulisikia mbunge yeyote wa CCM akimuunga mkono?

..wengi wanaokimbilia kurudi bongo na kutafuta uongozi ndani ya CCM they are attracted by the lack of checks and balance ktk mfumo wetu wa utawala na uongozi.

..walioko bongo nao hawana habari na utaratibu wa checks and balance wanaishi kulaumu wezi[balali,masha,jack pemba...] peke yake, badala ya wezi na mfumo wa utawala tunaoulea miaka nenda rudi.

..
 
Naam this is wht everyone would think, lakini for a guy anayeamua kutembea na vyeti kwenye kampeni as a proof for his qualifications naamini kuna haja basi ya kufahamu the whole background kuhusu hiyo academic achievements. Well this might sound too personal au some sort of character assasination lakini don't we see tht voters have a right to know kuhusu full academic background ya mgombea aliyesoma sana na anatembea na proof of that?

The message i got ni kwamba alikuwa wanajaribu kujustify kuwa ana elimu appropriate, yaani pia amesomea mambo ambayo wanajimbo wanahamu nayo, (maendeleo ya uchumi) sioni kama ni haki kuanza kuangalia kama baba yake alimrusha mtoto wake darasa au alimuingiza shule fulani kiujanja. This looks like character assasination, hakuna mtu aliye perfect, inawezekana kwa baadhi ni vibaya kuonesha credentials na kwa wengine wanapenda kuona credentials ili kujua kama vilaza wanataka kutuongoza au watu wenye uwezo wa kutuongoza.
 
Nikitambo sana tangu kuandika hapa kwenye JF, the reason behind is the forum became sold out.However, leo nimeamua kuandika kwa nini Kinondoni wamchague Mpoki Mwambulukutu.

Kwanza compare na wagombea wengine nadhani ana CV ambayo imesimama. B.A Economics, MBA then M.Phil in Economical development. He is outsiders, means hana link na any so called mtandao. Ana 360 exposure means ameishi in the west for sometime kabla hajarudi nyumbani.

His views toward Tanzania economic development are based on facts and not fiction like many Tanzania politician. He is humble man and hard worker.

Tanzania need people who understand development, because we're still developing and Mpoki knows development inside out.

Last, he is a common Joe...... He is a national treasure.
I am just curious kama Mpoki has been outside for some years atakua na tofauti gani na January Makamba, Lawrence Masha, etc... Pia niko concerned na hiyo term ya comon Joe, especially coming from a person presiding in the US... wale wa wanging'ombe, malampaka na mashikolomageni wanawaona hivyo

Otherwise Mpoki is a nice guy
 
What makes you think Mpoki is not the same suit? same party, same circles (baba balozi na kada wa siku nyingi wa chama) no istinction in achievement, shallow minded to the point of walking with his paper qualifications perhaps in view of lacking any other qualifications.

Kwa nini unafikiri huyu mtu atafanya chochote tofauti ? Nipe sababu za msingi, nakusubiri.

Kama tatizo ni uzee mbona tuna vijana kina Lau Masha, Adam Malima na Emmanuel Nchimbi? Wamefanya nini ?

I doubt kama utapata majibu unayostahili, wengi ni status quo tupu
 
I don't normally comment here but I heard this guy campaign this past week and was very impressed. I think he really does understand matatizo ya wananchi. Nilivyoelewa mimi from his campaigns in Kinondoni the guy yeye ameishi Tanzania all his life but was only studying abroad ila hata alivyokua akisoma makao yake yalikua tz hivyo yeye he's been in Tz throughout. Unajua change can come from any party and so can dissapointments so you really need to look at the individual candidate and not dismiss someone just cause anatoka ccm au chadema.
 
Back
Top Bottom