Kinondoni hasa Mwananyamala hapafai kabisa kimaadili kwa sasa

Kinondoni hasa Mwananyamala hapafai kabisa kimaadili kwa sasa

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
3,185
Reaction score
12,332
Aisee haya mambo sijasimuliwa nilijionea mwenyewe juzi.

Kuna jamaa yetu alikua anaumwa kwa muda mrefu ikabidi kwenda kumsabahi hapo Mwananyamala hospital. Tulipofika ndio hio siku akawa ameruhusiwa kwenda kwake hivyo ikabidi niwape lift hadi wanapokaa.

Ule mtaa nilioyaona aisee ni kufuru, vijana wa kiume wamejipodoa hawana shida yoyote, wamevaa vikaptura wanatembea kwa kukatika kama dada zao. Na ni group la vijana kama wanne hivi.

Ukisema sinza ndio sin city ya dar basi wewe hujafika mwananyamala
 
Dsm kwa ujumla imeoza huko kinondoni nilionyeshwa mmoja ni mweupe mwili mzima kavaa kinjunga kwa mtu mwenye mwili kitakaa km boxer,

Basi kajiinamia anachat sjui anafanya nn kwenye simu, sikummaliza wallah,

Kibaya zaidi ni kujifanya ni wanawake totally
ni hatari, najiulizaga hv hawa watuvwana wazazi au familia zao kweli?
 
Hapo mwananyamala na sinza ni kitambo sana hayo mambo yapo tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000. Niliwahi kubananishwa uchochoroni na madadapoa pale sinza. Walitaka za shaa shaa nitoe hata buku mbili nikawaambia sina wakanikashifu kwa nini nikipita hapo huwa sina za kuwashughulikia. Wale wa mwanyamala ni vijana unakuta na wao wamewekwa kempu moja na makahabu wakiuzwa na bosi wao mwanamke muuza makahaba
 
Hapo mwananyamala na sinza ni kitambo sana hayo mambo yapo tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000. Niliwahi kubananishwa uchochoroni na madadapoa pale sinza. Walitaka za shaa shaa nitoe hata buku mbili nikawaambia sina wakanikashifu kwa nini nikipita hapo huwa sina za kuwashughulikia. Wale wa mwanyamala ni vijana unakuta na wao wamekwa kempu moja na makahabu wakiuzwa na bosi wao mwanamke muuza makahaba
ndicho nilichoambiwa, unakuta bosi ni mwanamke ana makahaba na ana vijana wa kiume pia na wao wanajiuza kama makahaba. Mchana wapo saloon usiku wanauza nnya
 
Dsm kwa ujumla imeoza huko kinondoni nilionyeshwa mmoja ni mweupe mwili mzima kavaa kinjunga kwa mtu mwenye mwili kitakaa km boxer,

Basi kajiinamia anachat sjui anafanya nn kwenye simu, sikummaliza wallah,

Kibaya zaidi ni kujifanya ni wanawake totally
Wamejaa tele kila mahali lakini unashangaa chawa wa CCM wanajifanya bunge la ulaya linatetea mashoga kumbe serikali ya huku yenyewe inawatunza kabisa 😄
 
Umesema "Kinondoni hasa Mwananyamala hapafai kwa sasa", swali ni Je, palifaa lini kwa zaidi ya miaka 20 iliyopita!?.., huko hakunaga maadili miaka yote, mama anamwambia mwanae wa kike wa miaka 13/14/15/16 nikiwa na umri wako nilikuwa naleta ela nyumbani, toka nje katafute ela changamka, maana yake akajiuze. Ni zaidi ya hatari.
 
Na baada ya kuuliza nikaambiwa nao husimama usiku kutoa huduma kama madada poa wengine tu, nilichoka sana
hii tabia inaenea kama moto wa nyika huko mikoani madada poa wamegundua machimbo yao na wanapata wateja. Cha ajabu vijana wa kiume nao wako nao sambamba nao wanajiuza kwa kujipendekeza zaidi kuliko madadapoa, halafu hawagombanii maslahi, mteja ndiye anayechagua achukue mbunye au kiboga!
 
Umesema "Kinondoni hasa Mwananyamala hapafai kwa sasa", swali ni Je, palifaa lini kwa zaidi ya miaka 20 iliyopita!?.., huko hakunaga maadili miaka yote, mama anamwambia mwanae wa kike wa miaka 13/14/15/16 nikiwa na umri wako nilikuwa naleta ela nyumbani, toka nje katafute ela changamka, maana yake akajiuze. Ni zaidi ya hatari.
Daaah hatari kweli kweli
 
Kule afghanistan kuna mji unaitwa kunduz, na kenya kuna kambi ya wakimbizi inaitwa kakuma na kule ghana kuna kijiji kinaitwa kumansenu. Vijana wanakosa ajira wanaamua kuuza kunduz na wa kike wanauza kambi na kijiji, hali ni mbaya kwa kweli hasa hawa form four failure wasio na ujuzi wala vipaji vya kuwaingizia kipato, wanaishia kwenye ushenzi huo na hakuna wa kuwaokoa, hakuna sera za kusaidia vijana wanaoishia elimu za chini
 
Aisee haya mambo sijasimuliwa nilijionea mwenyewe juzi.

Kuna jamaa yetu alikua anaumwa kwa muda mrefu ikabidi kwenda kumsabahi hapo Mwananyamala hospital. Tulipofika ndio hio siku akawa ameruhusiwa kwenda kwake hivyo ikabidi niwape lift hadi wanapokaa.

Ule mtaa nilioyaona aisee ni kufuru, vijana wa kiume wamejipodoa hawana shida yoyote, wamevaa vikaptura wanatembea kwa kukatika kama dada zao. Na ni group la vijana kama wanne hivi.

Ukisema sinza ndio sin city ya dar basi wewe hujafika mwananyamala
Unafiki wa mwafrika ni kosa kubwa kujifanya kila dhambi imeletwa ma wazungu.

Ushoga umejaa nchi nzima hadi Kahama, Katavi😀😀
 
Waache wafu wazike wafu wao. Endelea na maisha yako mkuu

Aisee haya mambo sijasimuliwa nilijionea mwenyewe juzi.

Kuna jamaa yetu alikua anaumwa kwa muda mrefu ikabidi kwenda kumsabahi hapo Mwananyamala hospital. Tulipofika ndio hio siku akawa ameruhusiwa kwenda kwake hivyo ikabidi niwape lift hadi wanapokaa.

Ule mtaa nilioyaona aisee ni kufuru, vijana wa kiume wamejipodoa hawana shida yoyote, wamevaa vikaptura wanatembea kwa kukatika kama dada zao. Na ni group la vijana kama wanne hivi.

Ukisema sinza ndio sin city ya dar basi wewe hujafika mwananyamala
 
Back
Top Bottom