Km kweli elimu yake ndogo basi itakuwa shida sana, alafu inauma sana. Kile kigezo cha kujua kusoma na kuandika naomba kingeongezwa cha "elimu ya mgombea ubunge iwe atleast bachelor degree". Ni aibu sana kwa mtu asiyesoma anakwenda KUTUNGA SHERIA alafu anakwenda KUZISIMAMIA, anaowatungia ni wananchi ambao wamemzidi kielimu, naomba kigezo cha elimu nacho kipewe kipaumbele, ndio maana WASOMI miaka hii wanazidi kudharaulika. KIGEZO cha AJUE KUSOMA na KUANDIKA kilikuwa ENZI ya NYERERE maana zamani kujua hivyo ilkuwa shida, miaka hii ni tofauti na zamani. Umuhimu wa elimu haupewi kipaumbele, elimu sio kipaji ila nilazima usome. Watu wanapropaganda sana, mara utasikia naongozwa na Roho Mtakatifu hata kwenye mambo ya kiutaalamu!, tubadilike wagombea wasome waelimike na co umaarufu wao