Kingwendu ndio chaguo la Kisarawe


Rejea rasimu ya pili ya Tume ya Warioba, ilikuwa imependekeza mgombea ubunge awe na elimu angalau ya Form IV; lakini baada ya wana UKAWA kujitoa, waliobaki walikiondoa hiki kipengele na kurudisha angalau ajue kusoma na kuandika (darasa la saba kwenda chini) kama ilivyo kwenye katiba ya sasa toleo la mwaka 1977. Kwa hiyo Kingwendu kateuliwa kwa mujibu wa sharia na kanuni.
 
Kingwendu ana elimu ya diploma ya uhasibu aliyoipata chua cha TIA
 
hatari mno. nyie mnajiita wasomi mnaishia kupiga kelele tu sasa hawa jamaa (wasioenda shule) ndio wanaenda kututungia sera bungeni kisha mnakuja kulalamika ooh sheria kandamizi. WASOMI BADILIKENI


Kwani uwoya, lusinde na nape wamesoma wapi
 
Bunge la kutunga sheria na kuisimamia serkali wakiingia wachekeshaji kama hawa sijui
 
Kigwendu, kingwendulileeeeeee, ingia njengoni kama yatakushinda yamjengoni tupia komedi maisha yaendelee
 
mmmh.mtu anayelalamikia elimu ya kingwendu hasemi. uwoya, nape,lusinde na sanga wamesoma wapi au lwakatare kasoma wapi?
 
Kingwendu hongera sana, umeshapita hatua ya kwanza.

Ufanikiwe na hatua ya pili ili uwe mbunge
 
Kigwendu, kingwendulileeeeeee, ingia njengoni kama yatakushinda yamjengoni tupia komedi maisha yaendelee

Komedi ya ndioooooo tumesahau. Bro kingwendu kanyaga twende.
 
Ha ha ha! Hiyo combination ya Babu Duni & Kingwendu ni hatari ... Maana hawa wote ni watu wa masikhara. I can't imagine speech zao zilikuwaje! Ila huchoki kuwasikiliza.
 
Kingwendu ndio chaguo letu wana Kisarawe
 
Ha ha ha! Hiyo combination ya Babu Duni & Kingwendu ni hatari ... Maana hawa wote ni watu wa masikhara. I can't imagine speech zao zilikuwaje! Ila huchoki kuwasikiliza.
Piga picha Mzee Duni akiwa Rais wa TZ halafu Kingwendu Waziri mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…