Wote ni wabunge, lakini wanapokuwa ndani ya bunge hawa wa rais na viti maalum, huitwa wabunge wa kupendelewa huwa hawana heshima kabisa mbele ya wabunge wa kuchaguliwa bungeni, na hata mawaziri,
Kama nikujiuzulu uwaziri kwa Kingunge, ni mpaka aseme kuwa anajiuzulu na ubunge pia, otherwise bado anaendelea mpaka mwisho wa 5 years term.