Kingunge Ngombale Mwiru atetea Mahakama ya Kadhi ITV

Mambo ya Kidini hayana Hadhi ya kujadiliwa Bungeni.Mambo ya Kidini hujadiliwa na Dini husika kwenye Nyumba zao za Ibada.Mungu sio dhaifu kiasi hicho labda kama ni Mungu wa Maigizo.

Kama Bunge halina hadhi kwa mambo ya kidi kwanini kila mbunge kabla ya kuanza shughuli za bunge aliapa mule bungeni kwa dini yake na ile si sehemu ya kidini hawakwenda kuapa msikitini au kanisani?
 
Aliposema Mahakama ya Kadhi ilikuwepo pia wakati wa mkoloni alimaanisha kwamba hii Mahakama ikianzishwa tena si jambo geni wala halina athari yeyote makafiri waache dhana potofu kwamba sasa Tz kutakuwa na dola ya kiislam nchi nzima.

Hii mahkama itaenda kusikiliza matatizo ya waislamu tu kwa baadhi ya mambo yanayowahusu waislamu. Alimaanisha hivyo mzee wetu.

Hata viboko vilikuwepo wakati wa Mkoloni,Mambo mengi ya Hovyo yalikuwepo wakati wa Mkoloni ndio maana tulipambana kumfukuza ili tuyaondoe.Anapoyalilia mambo ya Mkoloni inaonekana haelewi hata sababu za wapigania uhuru wetu kumwondoa Mkoloni.Ni sawa na wachumia Tumbo waliojaa CCM ya sasa. Kuhusu Mahakama,Serikali ndio pekee yenye haki ya kuhukumu raia wake kwa kufuata Misingi ya haki za Binadamu,Kama kuna dini ina hamu ya kuhukumu waumini wake ifanye hivyo kwa ridhaa ya waumini wenyewe sio kuwaburuza kwa mgongo wa Serikali.
 
Mambo ya Kidini hayana Hadhi ya kujadiliwa Bungeni.Mambo ya Kidini hujadiliwa na Dini husika kwenye Nyumba zao za Ibada.Mungu sio dhaifu kiasi hicho labda kama ni Mungu wa Maigizo.

Kama Bunge halina hadhi kwa mambo ya kidi kwanini kila mbunge kabla ya kuanza shughuli za bunge aliapa mule bungeni kwa dini yake na ile si sehemu ya kidini hawakwenda kuapa msikitini ama kanisani?

Yesu ndio Mungu wa maigizo mana katika maandiko alisema ''mimi naondoka naenda kwa baba yangu aliye mbinguni'' itakuwaje aende kwa baba ilhali na yeye ni Mungu? Huyo baba ni nani aliyemzidi Yesu mungu wa wakirsto??
 
Kama Bunge halina hadhi kwa mambo ya kidi kwanini kila mbunge kabla ya kuanza shughuli za bunge aliapa mule bungeni kwa dini yake na ile si sehemu ya kidini hawakwenda kuapa msikitini au kanisani?

Hakuna mtu anayelazimishwa kuapa kwa dini yake.Kila Mtu ana hiyari yake mwenyewe.,ukiamua unaapa kwa kutumia Katiba ya Nchi badala ya kitabu cha dini yako.Hata Mahakama ya Kadhi ni jambo la hiyari ya muumini husika.Ikiwekwa kwenye katiba itageuka kuwa Lazima kitu ambacho sio sawa.
 
Kwani yeye ni dini gani! Hajawahi kuapa kwa Bibilia au Kuraan hata siku moja wakati wa enzi zake!
 
Hakuna mtu anayelazimishwa kuapa kwa dini yake.Kila Mtu ana hiyari yake mwenyewe.,ukiamua unaapa kwa kutumia Katiba ya Nchi badala ya kitabu cha dini yako.Hata Mahakama ya Kadhi ni jambo la hiyari ya muumini husika.Ikiwekwa kwenye katiba itageuka kuwa Lazima kitu ambacho sio sawa.

Kwa vile mumeapa bungeni ata kama ni kwa hiyari kwanini mliapa bungeni? walitakiwa kuapa sehemu zao za ibada Wakiristo lazima muna ajenda yenu nyuma ya pazia.

Yesu ndio Mungu wa maigizo mana katika maandiko alisema ''mimi naondoka naenda kwa baba yangu aliye mbinguni'' itakuwaje aende kwa baba ilhali na yeye ni Mungu? Huyo baba ni nani aliyemzidi Yesu mungu wa wakirsto??
 
'Kiongozi anayetumia dini au kabila kujinasibu, amefilisika kisiasa' Mwalimu JK Nyerere alipata kusema katika moja ya hotuba zake. Wanasiasa wa sasa wamefilisika. Hawana hoja. Hata ukiwasikiliza hotuba zao hazina ladha, mvuto wala jipya. Kila siku ni kunukuu hotuba za waliokufa zamani. Sioni ni jipya gani kiongozi wa sasa tutamnukuu baada ya kustaafu kazi. Jambo pekee nitakalomkumbuka Kingunge Ngombale Mwilu ni ushauri wake mbaya kwa CCM kuwa heri kuwa na Mgombea urais anayechagulika hata kama hana sifa za uraisi. Ushauri uliopelekea kumteua Dr. Jakaya Kikwete kuwa mgombea na hatimaye kuwa Raisi. Mpaka sasa nchi inayumba kisiasa, kiuchumi na kijamii. Kwa Kingunge bora Rais na siyo Raisi Bora.
Cha ajabu sana watamzania bado wanaamini kuwa ni mzee mwenye busara. Ama kweli wasio busara hawawezi kumtambua mwenye busara.
Nimemsikiliza neon kwa neo kama umemsikiliza kanusha kuwa hajasema viongozi wa sasa wana udini . kwamba kuna jazba isiyo sababu kupinga mahakama ya kadhi, kwamba iliwezekanaje Enzi ya mkoloni ishindikane leo, kwamba sio jambo jipya walikuwapo maliwali wanalipwa na serekali . Mbona hukanushi hayo? kama kuna mwingine ametazama anaweza kushuhudia kimsingi nimeripoti maneno ya Kingunge. wewe umetafsiri mimi nimetumia maneno ya kingunge
 
Kwa vile mumeapa bungeni ata kama ni kwa hiyari kwanini mliapa bungeni? walitakiwa kuapa sehemu zao za ibada Wakiristo lazima muna ajenda yenu nyuma ya pazia.

Yesu ndio Mungu wa maigizo mana katika maandiko alisema ''mimi naondoka naenda kwa baba yangu aliye mbinguni'' itakuwaje aende kwa baba ilhali na yeye ni Mungu? Huyo baba ni nani aliyemzidi Yesu mungu wa wakirsto??

Jadili hoja bila Jazba.Nimekwambia hakuna kifungu chochote kinachombana mwananchi Kuapa Bungeni kwa Dini yake.Mambo ya Yesu kuwa Mungu au Shetani wanayajua wenye Dini yao huko Makanisani ila wakitaka atambuliwe na Katiba tutakataa kama tunavyoikataa MAHAKAMA YA KADHI.
 
Kwa vile mumeapa bungeni ata kama ni kwa hiyari kwanini mliapa bungeni? walitakiwa kuapa sehemu zao za ibada Wakiristo lazima muna ajenda yenu nyuma ya pazia. Yesu ndio Mungu wa maigizo mana katika maandiko alisema ''mimi naondoka naenda kwa baba yangu aliye mbinguni'' itakuwaje aende kwa baba ilhali na yeye ni Mungu? Huyo baba ni nani aliyemzidi Yesu mungu wa wakirsto??
Mtoto wa nyoka ni nani?Wa Kondoo?Wa binadamu....?pengine itakusaidia kuliko kupewa quantum Physics
 
Huyo wala haisumbui akili yangu, he is but only a "white elephant"!!!!
haha..haafu nimeshangaa kakubali kuja jichoresha ITV...ningependa wamlete tena ktk kipima joto kabla baada ya ccm kupata mtu..halafu akalishwe na Masako.
 
Kwani yeye ni dini gani! Hajawahi kuapa kwa Bibilia au Kuraan hata siku moja wakati wa enzi zake!
Alisoma ujamaa ambao ni jaribio la kuwa Atheist km URUSI,UCHINA,NORTH KOREA(kwao ukristu ni dini ya Adui yao west )...alisomea Algeria...kwa hiyo kafuturu sana na kupata common ground na hawa jamaa.Nyumbani alikuwa mkatoliki na kabila mojawapo la wacheza ngoma,uchawi na kutoweza tofautisha sana vitu.Lazima awe confused na Identity yake.Vitu vyote hivyo Ukristu ni adui yao..waislam,na wajamaa wanapenda sana kuita ubepari ni ukristu ili kuweza kuushambulia na kupata sababu ya kuuchukia.Ndio maana huwezi sikia hawa wapuuzi wakitaja Waarabu ktk utumwa ,zaidi ya kuwaita ni ndugu.
 
Jadili hoja bila Jazba.Nimekwambia hakuna kifungu chochote kinachombana mwananchi Kuapa Bungeni kwa Dini yake.Mambo ya Yesu kuwa Mungu au Shetani wanayajua wenye Dini yao huko Makanisani ila wakitaka atambuliwe na Katiba tutakataa kama tunavyoikataa MAHAKAMA YA KADHI.

Kataeni bas viapo visifanyike bungeni vinaashiria udini ata kama ni kwa hiyari ndio muje mukatae mahkama ya kadhi kujadiliwa bungeni. Ata zile dua spika anazosoma za kufungulia bunge pia zikataeni sisisomwe bungeni
 
Ndio maana nimesema angejenga Hoja ya kumrudisha kwanza Mkoloni ili tuanzie hapo lakini kusema eti Mahakama ya Kadhi ilikuwepo hata wakati wa Mkoloni bila kusema kwa nini tulimfukuza Mkoloni anatukosea sana watanzania.


Farudume uko sahihi..,
Kwanini ccm wanataka kutumia mbinu CHAFU za DEVIDE AND RULE wakati walikwisha zikataa miaka 50 iliyopita...??!
Sasa wameona nguvu ile ile ya UMOJA NI NGUVU inataka kuwang'oa madarakani, ndio sasa wanataka watugawe ili waendelee kuuza nchi na wananchi wake.....!
Tukatae kugawanywa...!
 
Kataeni bas viapo visifanyike bungeni vinaashiria udini ata kama ni kwa hiyari ndio muje mukatae mahkama ya kadhi kujadiliwa bungeni. Ata zile dua spika anazosoma za kufungulia bunge pia zikataeni sisisomwe bungeni

Viapo wala Dua haiashirii Udini.Ni sawa na Wakristo na Wapagani kuruhusu kusaidiwa kuchinja na Waislamu huku wakitoa Dua zao.Ni sawa na Kumkaribisha Kikwete au Muislam kwenye Sherehe ya Kumsimika Askofu au Mkapa Kutoa Jengo la Umma kuanzisha Chuo kwa Waislam.Kumtaja Yesu au Mtume Mohamad Bungeni haimaanishi Udini."Udini ni Kujadili namna gani ya kuboresha Ibada ya Dini Moja kwa kuwashirikisha kwa lazima waumini wa Dini nyingine na Kutumia Raslimali Fedha,Vifaa,Majengo na Muda wa Waumini wa dini zote na wasio na Dini".Mijadala ya namna hiyo haikubaliki kamwe.
 
Namsikiliza Mwiru hapa nasema yafuatayo: Viongozi wa sasa wana udini kuliko Enzi ya mkoloni.Udini umeimarika sana ,watu wanaongelea mahakama ya kadhi kwa jazba kubwa wakati ilikuwapo toka Enzi ya ukoloni ila Nyere akaifuta mwaka 1964 ili kuwepo na mahakama moja , mahakama nyingine iliyofutwa ni ya machifu ama native court. anasema maliwali walihukumu katika kadhi courts na hapakuwa na tatizo lolote iweje leo watu waongee kwa jazba wakati hata mahakama za leo zina sharia ya kiislamu. amaeongelea ubaguzi wa uzawa na ukabila na kuonya taifa linaelekea kubaya.amedai baadhi ya wanaojenga hofu ya mahakama ya kadhi ni wanasiasa wakongwe kabisa wanaoelewa mambo yalivokuwa toka ukoloni, Nimejiuliza hapa je turudishe mahakama za kichifu? je Nyerere alitaka kupunguza mahakama kutoka tatu hadi moja kwa lengo la idadi tu au alikuwa na sababu nyingine?Kipindi ndo kinamalizikia

Hatujakataa Mahakama ya Kadhi ila waunde wao wenyewe kwa gharama zaoo. Kwanza huyo mwakilishi wa washirikina atatuambia mini kuhusu dini wakati yeye ni mpagani?.
 
Back
Top Bottom