King'amuzi gani chenye package bei nafuu?

King'amuzi gani chenye package bei nafuu?

MfalmewaKiha

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
1,191
Reaction score
1,244
Hallelujah!!!!!

Naombeni mnisaidie kunieleza ni King'amzi gani ambacho bandle zake ni bei ndogo kuliko. Hasa ukizingatia kwamba kipindi hiki ni kigum kwangu ki-uchumi.
 
startimes wana bei rahisi sana lakin channel zao sio nzuri, yani hazina vipindi vizuri.
jaribu Azamtv labda!
 
Back
Top Bottom