Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 589
- 278
Habari waungwana, ni king'amuzi gani naweza kupata channel ya Peace Tv ya Dr. Zakir Naik. Nipo dar mwenye kujua anijuze.
Wasalaam.
Wasalaam.
Asante mjukuu wangu. Nani kakwambia kutaka Peace tv ni kuutaka ujana na kujifanya usheikh? Hata ivo usheikh kwangu hauna maana kwa tafsiri yako ulivofasiri, kwa taarifa yako ufanye toba kwa maneno uliyoyaandika hapa najua yaumul qiyama utakuwa mas'ul kwa umenidhania na wala hunijui wala sikujui. Wewe na usheikh wako umeshindwa kuikomboa znz yako unapiga kelele tu huku jamii forum. Masheikh wetu wamekaa jela nyie wote mmeufyata ndio usheikh gani huo?Hahahaha eeee Babu Kijana weee.Usieutaka uzee wakati ni Sunna
Umeona Ramadhani ndio unajifanya Usheikh.
Inshaalallh mungu akuongoze hivyo hivyo hadi Ramadhani iishe.Usieteka kuitwa Babu kizee.
Asante mjukuu wangu. Nani kakwambia kutaka Peace tv ni kuutaka ujana na kujifanya usheikh? Hata ivo usheikh kwangu hauna maana kwa tafsiri yako ulivofasiri, kwa taarifa yako ufanye toba kwa maneno uliyoyaandika hapa najua yaumul qiyama utakuwa mas'ul kwa umenidhania na wala hunijui wala sikujui. Wewe na usheikh wako umeshindwa kuikomboa znz yako unapiga kelele tu huku jamii forum. Masheikh wetu wamekaa jela nyie wote mmeufyata ndio usheikh gani huo?
Startimes
Asante mjukuu wangu. Nani kakwambia kutaka Peace tv ni kuutaka ujana na kujifanya usheikh? Hata ivo usheikh kwangu hauna maana kwa tafsiri yako ulivofasiri, kwa taarifa yako ufanye toba kwa maneno uliyoyaandika hapa najua yaumul qiyama utakuwa mas'ul kwa umenidhania na wala hunijui wala sikujui. Wewe na usheikh wako umeshindwa kuikomboa znz yako unapiga kelele tu huku jamii forum. Masheikh wetu wamekaa jela nyie wote mmeufyata ndio usheikh gani huo?
Inapatikana Zuku, ni kati ya chanel zinazonikera sana