kuna mwenye hichi king'amuzi atupe mrejesho wa perfomance yake...
vipi kuhusu quality (audio+picture) ..?
signal strength ikoje..?
kuhusu antenna inahitaji ipi..?
star times tupa kule, zuku tupa kule,easy tv tupa kule, ting tupa kule, digitek tupa kule. mpango ni king'amuzi cha continental aina ya T2. Mimi nmekipenda sababu kinarecord vipindi. yaani kama upo busy na kipindi kinaendelea unauwezo wa kurecod na kuangalia baadae. unatumia flash na kila kitu. mda si mlefu ving'amuzi vya bamaga vitajiju. mia
source mkubwa!!!!!!!!!walionunua ving'muzi vya star times wameliwa! Teknolojia yao inaisha dec. 2013. China waliikataa teknolojia hiyo. Uganda wakavipiga marufuku hata kugusa ardhi yao. Ila tz ndo tumeliwa, intelijensia ya tz iko senseless mia. But iko too sensetive zinapokuja ishu za vyama vya upinzani!
star times tupa kule, zuku tupa kule,easy tv tupa kule, ting tupa kule, digitek tupa kule. mpango ni king'amuzi cha continental aina ya T2. Mimi nmekipenda sababu kinarecord vipindi. yaani kama upo busy na kipindi kinaendelea unauwezo wa kurecod na kuangalia baadae. unatumia flash na kila kitu. mda si mlefu ving'amuzi vya bamaga vitajiju. mia
vingamzi hivi vitanitoa roho yarabi mungu wangu.
ninacho cha startimes kiko uvunguni nilikinunua mwanzoni kabisa kabisa, sasa nimefunga Zuku , no ITV no STARTV nami napenda vituo hivi viwili, naambiwa kuna continental sijui digitek, ting sijui nani tena , je which is the right choice of vinga'mzi?
nasikia ni 50Unaangalia channels ngapi kwa kutumia king'amuzi hicho?
AiseeeNataka kuongeza kisimbusi je continental na digitek nitajien chnl zao!
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
aiseeNataka kuongeza kisimbusi je continental na digitek nitajien chnl zao!
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
star times tupa kule, zuku tupa kule,easy tv tupa kule, ting tupa kule, digitek tupa kule. mpango ni king'amuzi cha continental aina ya T2. Mimi nmekipenda sababu kinarecord vipindi. yaani kama upo busy na kipindi kinaendelea unauwezo wa kurecod na kuangalia baadae. unatumia flash na kila kitu. mda si mlefu ving'amuzi vya bamaga vitajiju. mia