Michezo au Dini ya Kiislam!!
Kinakuja,
Maamdalizi yanaendelea about 60% ya mambo yanayotarajiwa kufanyika yameshakuwa tayari kama mtiririko huu hapo chini:
1: Jengo yaani media house limeshanunuliwa - Nyerere road just baada ya mataa ukitokea airport upande wako wa kulia
2: Interviwe za wafanyakazi - the most ultra expertise staff tu zimeshaanza na zinaendelea kufanyika.
3: Aliyekuwa MD wa GTV ( ile iliyorun bankrupt ndio atakuwa MD wa Azam Media
4: Vinga'amuzi kuanza kuuzwa "labda" this October.
5: mchakato wa kisheria na kikanuni unakamilika.
6: itakuwa ni pay TV, competitive na full options.
7: Kutakuwa na channel nyingi za burudani, michezo, mambo ya kijamii,news and hot hot links.
8: It is a revoultioanry move.....stay tuned
Mjomba, this is too much!....tuache speculations za kubomoa umoja wa kitaifa!Michezo au Dini ya Kiislam!!
Asante kwa taarifa. Twasubiri hiyo October. Ila hapo unaposema ndio itakuwepo media house ni kama maeneo ya RTD ya zamani.
Umelazimishwa kununua?
Nyerereee kawaharibuuu mvona maji unakunywaaaa...!???bweeege weee
Nyerereee kawaharibuuu mvona maji unakunywaaaa...!???bweeege weee
Kinakuja,
Maamdalizi yanaendelea about 60% ya mambo yanayotarajiwa kufanyika yameshakuwa tayari kama mtiririko huu hapo chini:
1: Jengo yaani media house limeshanunuliwa - Nyerere road just baada ya mataa ukitokea airport upande wako wa kulia
2: Interviwe za wafanyakazi - the most ultra expertise staff tu zimeshaanza na zinaendelea kufanyika.
3: Aliyekuwa MD wa GTV ( ile iliyorun bankrupt ndio atakuwa MD wa Azam Media
4: Vinga'amuzi kuanza kuuzwa "labda" this October.
5: mchakato wa kisheria na kikanuni unakamilika.
6: itakuwa ni pay TV, competitive na full options.
7: Kutakuwa na channel nyingi za burudani, michezo, mambo ya kijamii,news and hot hot links.
8: It is a revoultioanry move.....stay tuned