tru rasta
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 314
- 368
hahahahahaaa,kweli ni mkoa mwingine asee.tuanatakiwa kukumbuka hili daimaMnawapa sana kichwa hao Watanzania Visiwani.... Naomba uwe unawaita Watanzania Visiwani na Sio Zanzibar wale ni sehemu tu kama mikoa mingine sema tu wan hali duni na fikra za chini