Kinga gari lako dhidi ya jua kali

Kinga gari lako dhidi ya jua kali

255 Systems

Member
Joined
Aug 31, 2013
Posts
29
Reaction score
5
Watu binafsi na maofisi hasa kwenye mikoa ya jua kali kama Dar,Morogoro na Dodoma hii ni nafasi ya kuyalinda magari yenu mnayoyapenda kwa bei nafuu kabisa.Unaweza ni PM,email at j.masalu@255systems.com au simu 0656-934573 kwa ajili details zaidi.Bei zetu ni nafuu sana na ushauri ni bure kabisa.
GRAND OFFER:single car park shade costs Tzs 1.5 ml,two car park shade for Tzs 2.3 ml and three car shade for only Tzs 3.1 ml,prices are valid till end of this months. Consultations and site visitations are still free of charge.
 

Attachments

  • office town.jpg
    office town.jpg
    433.6 KB · Views: 323
  • IMG-20130817-WA012.jpg
    IMG-20130817-WA012.jpg
    54.6 KB · Views: 305
  • IMG-20130817-WA013.jpg
    IMG-20130817-WA013.jpg
    60.5 KB · Views: 332
Mkuu, mko wapi? Nimetafuta sana hii kitu kwa siku nyingi lakini nikakosa uhakika wa mahali mlipo.

tupo Regent Estate,Kairuki Road kona ya kwanza kulia karibu na msikiti wa Mama Salma.contact zangu zipo hapo kwenye post ya kwanza,karibu sana.
 
tupo Regent Estate,Kairuki Road kona ya kwanza kulia karibu na msikiti wa Mama Salma.contact zangu zipo hapo kwenye post ya kwanza,karibu sana.
Mna ofisi yoyote mwanza, au kama hakuna mnaweza kufanya utaratibu upi nikihitaji huduma yenu nikiwa mwanza? Ukinijibu hili nitakupm ili tuongee biashara.
 
Mna ofisi yoyote mwanza, au kama hakuna mnaweza kufanya utaratibu upi nikihitaji huduma yenu nikiwa mwanza? Ukinijibu hili nitakupm ili tuongee biashara.
[h=2][/h] tunafanya kazi mikoa yote ya Tanzania na Zanzibar,just pm me for serious discussion
 
Naulizia mtu yeyote anayefanya kazi kwenye hii company ya geomatics engineering consultants tuwasiliane kuna vi2 nataka kuulizia

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
tunafanya kazi mikoa yote ya Tanzania na Zanzibar,just pm me for serious discussion.

Mnawapa sana kichwa hao Watanzania Visiwani.... Naomba uwe unawaita Watanzania Visiwani na Sio Zanzibar wale ni sehemu tu kama mikoa mingine sema tu wan hali duni na fikra za chini
 
Mkuu, mie nipo Mwanza, nahitaji sana hizi tents kwa size ambayo nitapaki gari moja tu, so kwa Mwanza mnapatikana wapi?. Eee bana hebu nipe details za kutosha then muda mfupi ujao niwazukie ili nikamate moja size ya kupaki gari moja, na pia usisahau kuniambia bei kabisa ili nijipange kisawasawa kabla sijatimba mitaa.

Many thanks.
 
Mkuu, mie nipo Mwanza, nahitaji sana hizi tents kwa size ambayo nitapaki gari moja tu, so kwa Mwanza mnapatikana wapi?. Eee bana hebu nipe details za kutosha then muda mfupi ujao niwazukie ili nikamate moja size ya kupaki gari moja, na pia usisahau kuniambia bei kabisa ili nijipange kisawasawa kabla sijatimba mitaa.

Many thanks.

Karibu sana mkuu,kwa sasa hatuna ofisi Mwanza ila tutakuja soon,ila kazi tunakuja kukufanyia popote ulipo.wasiliana nami kwa ajili ya design zaidi na specifications za rangi unazopendelea ili tukupatie kitu kizuri utakachofurahia.
 
mkuu mm naomba nijue bei ya ukubwa wa kupaki gari

bei inategemeana na design unayotaka wewe pamoja na ukubwa unaouhitaji.shades kwa ajili ya magari madogo bei yake ni tofauti na ya gari kubwa(malorry). unahitaji kwa ipi?
 
gari aina ya rav4
Ushauri; shade ya gari moja naweza kukufanyia lakini huwa haiachi muonekano mzuri,yaani structure yake haivutii.
bei ya single car shade ni 1.8 ml mkuu wangu kama upo dar na ya magari mawili tunafanya kwa 2.6
 
Ushauri; shade ya gari moja naweza kukufanyia lakini huwa haiachi muonekano mzuri,yaani structure yake haivutii.
bei ya single car shade ni 1.8 ml??????????? mkuu wangu kama upo dar na ya magari mawili tunafanya kwa 2.6?????????????

asante sana mkuu kwa taarifa na biashara hii
 
Niambie bei ya tent ya prado tafadhali
 
asante sana mkuu kwa taarifa na biashara hii

ndugu yangu kama unajua bei halisi za hizi huduma hapa mjini huwezi shangaa bei yangu,tafuta KAMPUNI inayofanya below that price then come back on this thread.tunafanya kitu cha uhakika na kwa bei nafuu sana,sisi sio mafundi wa chini ya mti tent likianguka baada ya mwezi huna pa kuwapata.Karibu sana
 
Niambie bei ya tent ya prado tafadhali
Prado ni gari ndogo mkuu,kama nilivyoshauri hapo juu,tent ya gari moja haivutii but we do it for 1.8 na ya magari mawili ambayo ni standard tunafanya kwa 2.6 na maelewano yapo ndugu.Karibu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom