Huyu jamaa naweza kusema ni Roma wa Kenya, siku 3 viewers 1.3M kwa mwana hiphop haijatokea hapa Afrika Mashariki.
Tumezoea kuona pigo hili kwa kina Mondi na Kiba wasanii ambao wanaimba. Ni msanii gani toka TZ wa hiphop amefikia hii?? Jibu ni hakuna hata kwa Kenya hakuna Mgenge amewahi fikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.