Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
[QUOTE=Padri;1065635]Hao wanajua kuwa KINANA KICHWA CHA CCM ndio maana wanaleta mashambulizi Binafsi.Kinana msomi wa Harvard sio kama Mbowe Form Four au mgombea mwenza wa Chadema Said Mzee MSOMI WA Darasa la saba.na muimba kwaya bwana Slaa.
Padri kweli Mbowe Form 4??????[/QUOTE]
we ndio ***** kabisa kusoma havard ndio nini?Maji marefu mgombea ubunge wenu ni darasa la ngapi