Chanzo Gazeti LA wanywa viroba!!
Nawe umekosa kazi
Yaani unakula ugali kwa Picha ya samaki gazetini!!!
atskayefuata ni mbowe. Maana anakiibia mno chamawang'oke tu hamna namna maana wanakichafua chama kwa tuhuma walizonazi
Hata waking'oka bado watakaoletwa watakuwa mchwa tu, ccm ni kizazi cha mchwa
atskayefuata ni mbowe. Maana anakiibia mno chama
Kwakuwa Uhuru ni gazeti la wazimaingekuwa ni gazeti LA Uhuru ningeitilia shaka habari kama hii
tuhuma zipiwang'oke tu hamna namna maana wanakichafua chama kwa tuhuma walizonazi
Umesha sema kwamfano
Unatakaje tena!!?
Wewe unaishi kwa mfano wa binadamu kamili
Lakini sio kamili
Hujakamilika kichwani.
Umeelewa mfano!!?
HahahahaChanzo Gazeti LA wanywa viroba!!
Nawe umekosa kazi
Yaani unakula ugali kwa Picha ya samaki gazetini!!!
Kwetu wapi?Bao LA mkono
Kutorosha wanyama
Hizi tuhuma zinatosha kuwaondoa chamani. Waondoke kama mnawakaribisha huko kwenu poa
Bavicha!!!!Haukitakii Mema chama chetu we bavicha! Wang'oke tu