Kinana, Nape kung'oka CCM

Kinana, Nape kung'oka CCM

Waondoke ili 2020 tuwapige nusu kaputi.wajanja wote wapo nje saiv,waliobaki hawajui michezo.washamba washamba.
 
Nimecheka sana nilipoona habari ya Nape na Kinana imepewa kipaumbele kuliko habari ya Lowassa. Nimecheka zaidi nilipoona Lowassa akitegemea kushinda 2020 (kutoka safari ya matumaini hadi ndoto ya matumaini)

endelea kucheka ila hawa waondoke tu
 
Magufuli kashaanza kuogopa,nao ni mwendo wa vikao tu.chama kinamfia hichi,aendelee kuzuia mikutano aone,kinasahaulika taratibu akilini mwa watz.
 
Chanzo Gazeti LA wanywa viroba!!
Nawe umekosa kazi
Yaani unakula ugali kwa Picha ya samaki gazetini!!!
Subiri ndipo utapoliheshimu gazeti linalotegemewa na wachangiaji wakubwa wa kodi(Walevi)
 
Huo utakuwa mwanzo tu wa safari ndefu ya kuisafisaha CCM na kuifanya iwe ya kisasa zaidi na inayowajibika kwa wananchi.Natamani kuona CCM iliyojaa wasomi wawajibikaji.
Hatimaye Kinana na Nappe sasa kung'oka CCM

Chanzo: gazeti la Tanzania Daima la leo
Mwana CCM mwenzangu Una maoni gani juu ya hili?

15.jpg
 
atskayefuata ni mbowe. Maana anakiibia mno chama
Hivi Mbowe naye kauza mashine za uchapishaji kama chuma chakavu? Nijuavyo zile za Lumumba hazijarudi pamoja na mwenye kigoda kuagiza zirudishwe. Tuliko kuwa tunaelekea ofisi ndogo tungekuja sikia imeuzwa kwa ubia na Manji ndio mdau 49%
 
Ila Kinana ameepooza sana. Ni kama amedown tools japo hasemi. Tangu Magufuli alipomdhalilisha siku zile ametembelea staff wa Uhuru, things have never been the same again. Huenda hata Kinana mwenyewe anatamani kuenguliwa tu.
 
Bila shaka dialo na bashite watakabidhiwa chama safu ya wasukuma ikamilike
 
Back
Top Bottom