security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Kesho watu wa singida watapata elimu ya uraia kubwa sana toka kwa kinana,
huyu mzee anamuogopa sana kinana akisikia jina la kinana hata chini ya meza anaingia.
Chakula cha bavicha hiki,kazi kweli.
Mkuu watu wote hawa kweli wanafuta porojo kuwa muungwani ogapa dhambi.Porojo hapa. Hamna kitu
- Mawaziri wa Wizara Nne kuhutubia
- Waziri wa Ujenzi,Waziri wa Uchukuzi,Waziri wa Mali Maliasili na Utalii na Waziri wa Maji
- Wengine ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye
Mkuu watu wote hawa kweli wanafuta porojo kuwa muungwani ogapa dhambi.
embu soma signature yako tena na sioni kama ni fahari mtu mzima kujitukana mwenyewe, leo hii kuna CCM imara tena??Ccm itaongoza nchi hii daima dawamu
embu soma signature yako tena na sioni kama ni fahari mtu mzima kujitukana mwenyewe, leo hii kuna CCM imara tena??Ccm itaongoza nchi hii daima dawamu
Karibuni sana kwenye mkutano wa kulijenga taifa katika nyanja za kifikra, kiutendaji na kimaendeleo
Kikosi cha mizinga/ maangamizi....watajibeba hao ukauwa