HARAKATI-1
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 114
- 36
Katibu mkuu wa chama tawala leo hii anafanya mkutano mkubwa wilayani hapa na kumpoke kijana mamachari katika siasa EXAUD YESASA ambaye ni miongoni mwa vijana wachache jasiri walioanzisha jumuiya ya vijana wa chadema CHASO chuo kikuu cha dar es salaam.
Pia katibu anatarajia kuwaambia wananchi juu ya maendeleo yanayofanywa na chama cha mapinduzi CCM
Pia katibu anatarajia kuwaambia wananchi juu ya maendeleo yanayofanywa na chama cha mapinduzi CCM