Acha ndoto ukiwa umekaa halafu unaleta hapa, Kazi ya tume Ni kumtamgaza aliyeshinda kwa kupigiwa kura nyingi na wananchi,
Sasa nyinyi chadema mtapigiwa kura na Nani? Kwa Sera na ajenda zipi? Kwa ushawishii gani mlionao kwa Sasa? Kwa Sasa wananchi hawana habari na nyinyi ndio maana mmepuuzwa na hamuungwi mkono kwa chochote mtakachosema maana imeshajulikana kuwa nyinyi Ni wababaishaji tuu