Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
Kwani wewe hilo neno uwa uliloliweka hapo lilipaswa kuwepo? Mbona unakuwa mbishi kama mwenezi wako?
usianze kukimbia kimbia, hilo neno ambalo umetumia "huwa" linapaswa kuwa mahali hapo?
Usilete habari za "ua" wakati mimi nimeuliza "huwa".