Zamani tulikuwa tunaitana ndugu kabla hatujavamiwa na ufisadi wa kutisha. Sasa kuna waheshimiwa wanaokula nchi na wasio waheshimiwa wanaoliwa na kudanganywa! Heri wake wanaoitana KAMANDA!Hili neno Mheshimiwa sasa linatumika vibaya.
Ama tulifute kabisa kulitumia au tupeane semina elekezi nani anastahili kuitwa hivi