Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Taarifa hii imetolewa katika gazeti la mtanzania;katibu mkuu wa ccm akiwa sikonge amejikuta akibubujikwa na machozi kutokana umaskini mkubwa wawananchi na walima tumbaku wanavyo dhurumiwa huko sikoke unao fanywa na wafanya biashara huku serikali ya ccm ambae yeye ni katibu mkuu wa ccm ikiwa kimyaa na kutowasaidia;swali kwake;analia nini wakati ccm ndio wenye serikali?
Nyang'au....! Kauli za haya majangili yakiongozwa na Kinara huyu ni maibilisi waishio kati ya umma wa waTanganyika..., majangili haya yanaangamiza uchumi wa taifa na vizazi vyake kwa kumaliza tembo na maliasili zote, ...yanasimamia biashara za 'sembe' kuangamiza vijana wetu, ...yanafanya 'biashara za binadamu wenzake' na kuwasafirisha ktk makontena na kuvuna mabilioni ya hela...! yanaongoza chama cha waovu (ccm), sera zimeifikisha nchi karibu na ahera, chama kilichozama ktk wizi na ubadhirifu wa mali ya Umma...., yeye anatoa machozi???! Hayo ni machozi ya hamasa kwa mabilioni aliyokwisha kuvuna na kuficha nje huku akijua jamii imebaki wajinga, wanamsindikiza na kumsikiliza kila aendako na sio machozi ya uchungu ...! hawa wana-ccm wenzake wanajitokeza kwenda kumsikiliza ktk makusanyiko wanazo fikra sahihi au vipofu? ...tuwasaidieje? ...kuongozwa na akili ndogo ni laana!