I just hope you all know what you are contributing, akutukanae hakuchaguli Tusi. Huyu bwana kinana amedhihirisha ni kiboko wa kuogopeka. Ndio maana unaona anavyo kandamizwa na tuhuma sizizo na msingi wowote . ushahidi unaotolewa na Kila taasisi za ki internation na za kitaifa mnazikata, mkifikiria mtaweza kupunguza Kasi zake kuiimarisha CCM na kuipatia ushindi mkubwa uchaguzi ujao.
Kuna habari za kuaminika ya Kuwa baada ya Ziara mkoani Morogoro ya Bw Kinana ambako aliweza kuimarishi ccm na kufungua offici za chama nyingi, iliwaletea wasisi mwingi wana CDM, ikalazimu Dr Slaa na timu yake ku weka kikao cha dharura, na kuamua kumshakiza msigwa kumtaja kinana na tuhuma zisizo na proof yoyote, kwani bungeni Ndio mahali pekee ambako mbunge anakuwa na fursa ya jukwa lisilomgharimu kuman ya campaigne na immunity ya kudu kana au kudanganya UMMA kwa lolote apendalo ambalo halina mchango kwa taifa au constituency yake.
All in All the wheals are in motion, and I don't see anybody in CDM can stop it, couse CDM has muzzled up its dynamic and only one who could possibly bring any change and is the crowd puller within CDM. He is the Shining Star HOnourable ZUBERI ZITTO KABWE. There is justice in CDM. that is what will give CCM a landslide win. God bless you all including the foul mouthed ones also.