Kinana apata wakati mgumu Mtwara

Kinana apata wakati mgumu Mtwara

Sasa hv wanakodisha magari,boda boda mnapewa elf.kumi hadi ishirini na wanawawekea mafuta ili kujaza mkutano
 
Ndugu yangu sasa umesheheni uongo kwani mikutano yote tumeiona live na hata ile ya Masasi pale uwanja wa fisi ulikuwa nyomi kweli kweli, newala pia mambo yalikuwa mazuri sana hata malatu na baadaye Newala mjini mambo yalikuwa nyomi ya kufa mtu.

Mnung'unwangu aneko kukaya vanu vaniuumbala na Nanga chama chochohe vakukaya chivapendicho Kama CCM!

we nnemba kweli.
 
Nafurah kushuhudia kifo hik cha watesi wetu, wanamtwara naamini hamtatuangusha wana ukawa 2014/2015 sisi ndio wa kuigeuza mtwara kuwa jiji la viwanda, hyo ndio dream yetu
 
CCM mngesahau kuhus kusini mngekuwa mmefanya jambo la maana sana

Acheni kujipotezea muda
 
Kwa taarifa nilizo pata hivi punde ni kwamba kinana ana pata wakati mgumu mkoani mtwara mikutano yake imedoda na imesusiwa na wananchi.

Itakumbukwa katikati ya mwaka jana wananchi wa Mtwara walikumbwa na balaa la kuchezea kichapo kutoka kwa serikali ya CCM kupitia kwa jeshi la wananchi na jeshi la polisi kufuatiwa na harakati zao za kutaka gesi inufaishe wazawa.

Uzushi tu
 
chinga one ungeweka na picha ya mkutano uliododa tungekuamini na tungewaona ITV ;SIBUKA na STAR TV waongo. Lakini picha wanazotoa wao kwenye habari zao zinaonyesha mikutano iliyojaa watu tena zaidi ya ile mnayofanya nyie...na zaidi mpaka jinsi Kinana anavyoshiriki shughuli za maendeleo tunaoneshwaQUOTE=Chinga One;11273589]Kwa taarifa nilizo pata hivi punde ni kwamba kinana ana pata wakati mgumu mkoani mtwara mikutano yake imedoda na imesusiwa na wananchi.

Itakumbukwa katikati ya mwaka jana wananchi wa Mtwara walikumbwa na balaa la kuchezea kichapo kutoka kwa serikali ya CCM kupitia kwa jeshi la wananchi na jeshi la polisi kufuatiwa na harakati zao za kutaka gesi inufaishe wazawa.[/QUOTE]
 
Usisahau Malori ya ccm sikuhizi yanapatia wananchi yetenasi na wananchi wameshtuka
 
Back
Top Bottom