Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
Kwa taarifa nilizo pata hivi punde ni kwamba kinana ana pata wakati mgumu mkoani mtwara mikutano yake imedoda na imesusiwa na wananchi.
Itakumbukwa katikati ya mwaka jana wananchi wa Mtwara walikumbwa na balaa la kuchezea kichapo kutoka kwa serikali ya CCM kupitia kwa jeshi la wananchi na jeshi la polisi kufuatiwa na harakati zao za kutaka gesi inufaishe wazawa.
Itakumbukwa katikati ya mwaka jana wananchi wa Mtwara walikumbwa na balaa la kuchezea kichapo kutoka kwa serikali ya CCM kupitia kwa jeshi la wananchi na jeshi la polisi kufuatiwa na harakati zao za kutaka gesi inufaishe wazawa.