mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,835
Sidhani kama Tz nzima inawanasiasa kama Bernard Membe wafikapo 10.....tunahitaji wana siasa kama huyu ili kubadili muelekeo wa nchi.....mtu moja kubadilisha mfumo wa chama na malengo na wote wanamufuata tu wakiwemo maraisi wasitaafuKama ni mboga, basi Kinana amechacha. Nachukua nafasi hii pia kumpongeza Mh. Bernard Membe kwa tamko lake la jana. Hakika Tanzania tunahitaji Viongozi wa aina yake! ambao siyo Waoga, Wanafiki, Wezi na Wasio jiamini.
"Ni bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuishi ukiwa umepiga magoti". Anayestahili kutukuzwa ma kuabudiwa ni Mungu pekee. Mwanadamu ni mavumbi tu.