Wananchi wamejitambua hao wachache wamelogwa na mchawi kapoteza password asingekubali waendelee kuteswa na huyu Subiani CCM.Ila marekebisho kdogo hao wenye yunifomu siyo wote ni watu wao bali umesikini ulopandwa na serikali yao umewafanya washindwe kununua hata nguo za kujisitiri wanakeshea na kushindia izo walizogawiwa wakati wa kampeni.Tufunge tuwaombee wapate ukombozi wa kweli.