Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Mnamshangaa Magufuri wakati yeye anaelewa alikuwa anafanya kazi na si maigizo kama nyie ..kapiga kazi na kazi imeisha mtaani sahivi kaanza na kupanga kikosi tayari, nyie endeleeni kutengeneza maigizo huko serengeti
Huyu ndo Magufuri, hapa ni kazi kwa kazi ..Hapa ni kazi tu.
Wee ni jinga ...kijijini kwenu nilienda juzi kule kagera hajuna lami wala kisima cha maji achilia mbali Umeme, alaf unaleta maneno APA! 50 years ccm hakuna kitu bado unakenua tu!!