Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Napenda nichukue fursa hii kuwaomba kina baba ambao tumekula chumvi ya kutosha (Kyabushaija et al) mara kwa mara tuwe tunawapa hint vijana wa kiume wadau wa MMU ili mbele ya safari yasijewakuta yaliyotukuta sisi.
Kwa leo naanza mimi:
Ndugu vijana,ukijaliwa kuwa kwenye mahusiano yawe ya ndoa / urafiki wa karibu/uhawara,basi kipindi upo katika lindi la mapenzi jihadhari sana kutoa siri zako za ndani sana kwa mwenza wako.Mathalani ukiwa mfanyabiashara jihadhari kumweleza mwenza wako jinsi unavyopambana na competititors,TRA na regulators wengine. Kama umeajiriwa jihadhari kuwasema vibaya maboss wako mbele ya mama chanja wako na kama kuna mishemishe unafanya kazini ili kujiongezea kipato ndo kabisaaaaaa usithubutu kumjuza mwenza,ye mwache aone zinaingia tu. Naongelea hili kutokana na uzoefu na si wa kwangu tu lakini wa wanaume wengi. Ilivyo ni kwamba mkiwa kwenye malavidavi mke/girlfriend/hawara atakutunzia siri mpaka ya ndani sana lakini ole wako siku ukimkosea/mkidiffer chances are atamwaga razi kwa wahusika na usipoangalia utashtukia Hosea/Kova/maodita wanakupigia hodi.Ni ushauri tu na wakati unautafakari mkumbuke Shakespeare aliyesema na ninakuu 'hell knows no fury like a woman scorned'!
Weekend njema.
Kwa leo naanza mimi:
Ndugu vijana,ukijaliwa kuwa kwenye mahusiano yawe ya ndoa / urafiki wa karibu/uhawara,basi kipindi upo katika lindi la mapenzi jihadhari sana kutoa siri zako za ndani sana kwa mwenza wako.Mathalani ukiwa mfanyabiashara jihadhari kumweleza mwenza wako jinsi unavyopambana na competititors,TRA na regulators wengine. Kama umeajiriwa jihadhari kuwasema vibaya maboss wako mbele ya mama chanja wako na kama kuna mishemishe unafanya kazini ili kujiongezea kipato ndo kabisaaaaaa usithubutu kumjuza mwenza,ye mwache aone zinaingia tu. Naongelea hili kutokana na uzoefu na si wa kwangu tu lakini wa wanaume wengi. Ilivyo ni kwamba mkiwa kwenye malavidavi mke/girlfriend/hawara atakutunzia siri mpaka ya ndani sana lakini ole wako siku ukimkosea/mkidiffer chances are atamwaga razi kwa wahusika na usipoangalia utashtukia Hosea/Kova/maodita wanakupigia hodi.Ni ushauri tu na wakati unautafakari mkumbuke Shakespeare aliyesema na ninakuu 'hell knows no fury like a woman scorned'!
Weekend njema.