Ukisikia siku za stress kwa wanaume mjini ni wiki end inapofika aisee kina dada utasikia nataka kwenda saloon,ooh nirushie vocha,mara lunch,ikija bill anatambua macho kama kiboko au mamba.Halafu unamlainisha kwa kumwita honey,dear,baby.kwendaaaaa.
Kwendaaa - ina maana unafukuza mapema? Hutaki gozigozi
hahaaaaaaaaaaaaa acha kulalamika.........
women have needs and men have responsibities
Ukisikia siku za
stress kwa wanaume mjini ni wiki end inapofika aisee kina dada utasikia
nataka kwenda saloon,ooh nirushie vocha,mara lunch,ikija bill anatambua
macho kama kiboko au mamba.Halafu unamlainisha kwa kumwita
honey,dear,baby.kwendaaaaa.
miss chagga kaniwekea nyodo sana huyo, anasema pesa zangu za mbuziNaona misschagga kanijbiaa basi mtatoka nae badala yangu!!!!
nimekusikia na nitakuja huko
miss chagga kaniwekea nyodo sana huyo, anasema pesa zangu za mbuzi
nenda na Mndengereko, yeye si ndie umemchagua siku hizi, umeniona mie wakuja na pesa zangu za matango
khaaa wakuu hizo ni feki.
Si unaniona mpenzi ...Kakutana na wauza nyama huyo !wapita njia nipe nikupe
Kama kweli una mamito wako liwazo la moyo wako! Faraja ya hisia zako na mtima wako hutaona hasara kuvunja kibubu hata kidogo
Hakuna kitu kizuri kama kumfanya mpenzi wako ajisikie furaha ,akudekee aringeringe alie kidogo anune kidogo kisha atabasamu kishapo acheke cheko la mahaba!
unaukumbuka ule wimbo wa Mr blue? TABASAMU NIPATE FURAHA.....!!!
njaa kali kama wewe
tulitofautishwa mapema sana toka tulipoumbwa..
mwanaume atakula kwa shida!-- atakula nini?- THINK!
hio adhabu ndio inayotuandama katika kila nyanja ya maisha,
mwanamke kaumbiwa shida moja tu, kuzaa kwa uchungu tu!-- mengineyo ni kazi ya mwanaume tu!
Me i don care so long namupenda ni haki yake kunitumia kama mimi ninavyomutumia
Halafu nikwambie kitu jembe afrika hakuna kitu bomba kama kumhonga mwanamke. Mimi binafsi huwa najisikia vizuri mno inapofika hiyo moment! !!