Kigoma Region Tanzania
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 230
- 612
Hapana hilo haliwezekani, kwani hadi uwe na uwezo wa kumchukua mtu msukule inamaana wewe tayari ni mchawi, na kama wewe ni mchawi tayari unaouwezo wa kumuingia mtu yeyote yule usingizini bila kumuua. Mchawi pia anaweza kukuingilia kinyume na maumbile. Kwa hivyo sio lazima akufanye msukuleHuwezi ukamchukua demu msukule uwe unamla mzigo