Kinachojengwa Mbezi mwisho ni kuchezea kodi za Watanzania

Weka ushauri basi unataka iweje. Siyo unakosoa tu kwa kuwa vimeletwa hapo.
 
Hiyo ni ghubu. Yaani unakosoa kitu ambacho hukuwa nacho na kimeletwa kwa lengo zuri ila badala ya kushauri unabeza tu
 

Kama lilivyo jina lako Tabu tupu na akili yako ni hivyohivyo tu.unawaza kwa kukariri...elimu mliyonayo ni kukopy na kupest...hakuna ubunifu unaotoka vichwani mwenu...zaidi ya Kulaumu...toa suluhisho
 
Mkuu barabara ya mwendo kasi tumecopy na kupaste toka Joberg-Usitupe ujiko wa bure kwamba tulidesign sisi-ile ni sawa na BIG RESULT NOW-Copy and Paste
 
tatizo lipo wapi kwa mfano
Mfano watu kujazana kituoni na kwenye mabasi yasiyo na mzunguko wa hewa na kufanya watu wawe kwenye hatari ya kuambukizana magonjwa. Kwani design yenu ilikuwa watu wajazane hivo? MBONA TUNAWAONA MNAKAA KIMYA UENDESHAJI WA HIKI KIWANDA CHA MWENDO KASI? NI SAWA KINAVYOFANYA KAZI? MNACHUKUA HATUA GANI? NDIO MAANA HAKUNA HATA VIBAO VYA KUONYESHA BASI LINAFIKA WAKATI GANI KWENYE VITUO AU KUONDOKA, MMEIGA TU BASI
 
Kila Mara huwa nasema ukitaka kujua umaskini na ufinyu wa jamii ambayo haijastaarabika just angalia tu mpangilio wa makazi na miundombinu yetu mambo yanaenda shaghala baghala tu
Huko kwa wenzetu mfano Kenya au Ghana etc miji yao iko kwenye plan vizuri sana,Sasa tzn kila mji na everywhere ni squatters,hao viongozi hawaoni aibu? Na ujue Tzn huwa tunafanya mambo kwa kulipua au Bora liende na bila vision,ni shida sana nchi hii
 
Tanzania ndio nchi pekee duniani inayotengeneza barabara zile zile kwa miaka yote , ukifuatilia utagundua miaka michache iliyopita barabara ya Kimara - Mbezi ilijengwa , lakini leo inajengwa tena
Halafu barabara alizijenga mwenyewe mtetea wanyonge.
 
Jaribu ku Google nchi Kama Ghana tumeizidi uchumi lakini miundombinu wanayojenga ni ya adabu,cheki hapo Kampala entebe road ya maana huku dar takataka tuu
 

Attachments

  • Kasoa Interchange and Ancillary Works (Ghana) ( 360 X 640 ).mp4
    17 MB · Views: 30
  • Sofoline Interchange in Kumasi Ghana ( 480 X 854 ).mp4
    11.2 MB · Views: 25
Tanzania ndio nchi pekee duniani inayotengeneza barabara zile zile kwa miaka yote , ukifuatilia utagundua miaka michache iliyopita barabara ya Kimara - Mbezi ilijengwa , lakini leo inajengwa tena
Nakumbuka miaka ya 2001/2002 ilipasuliwa ile ya njia moja sijui mbili kuanzia ubungo hadi kimara na zikajenjwa barabara 4 haijatimia hata miaka 20 ikapasuliwa tena ikawekwa mwendokasi na hii mwendo kasi itapasuliwa muda si mrefu wataweka sijui nini kitu hata miaka 30 hakija fikisha kishapasuliwa

Inaonekana ni miradi ya watu kupiga 10%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ndio nchi pekee duniani inayotengeneza barabara zile zile kwa miaka yote , ukifuatilia utagundua miaka michache iliyopita barabara ya Kimara - Mbezi ilijengwa , lakini leo inajengwa tena
Hii mara ya Tatu,aliijenga mkapa,akaijenge JK na sasa magufuli-Hii nchi na ccm yake ilipaswa iwe sayari ya pekee yake
 
We jamaa wa wapi? Una uhakika kwamba roundabouts hazipunguzi foleni??
 
Tazama pale ubungo, baada ya kuweka mzunguko wa mabati. Hakuna foleni.
Kumbe foleni ilikuwa inaletwa na yale mataa mabovu mabovu. Sijui kwanini hawakuweka mzunguko tangia miaka yote

Sent using Jamii Forums mobile app
sababu ya kupungua foleni pae junction soyo yale mabati bali ni baada ya kustopisha route ya dala daala ya kimara kariakoo na gari zake zilikuwa nyingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…