STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,771
- 553
Kwa maoni yangu CCM bado wanaamini dawa ya kuwaongoza watanzania milele ni kutowapa elimu, na kuwapandikizia viongozi wasiowapenda. Hii inaonekana kwenye majimbo mengi ambayo kuna wabunge wamepita bila kupingwa ile hali hawatakiwi na wananchi.
Hii ina maana gani kwa wananchi, na inmadhara gani kwa wananchi, maanake ni wananchi wengi wameshafahamu haki zao na watatumia nguvi kudai na kuilinda haki zao kama tulivyoona kwenye majimbo mengi ya uchaguzi.
Peoples Power
Hii ina maana gani kwa wananchi, na inmadhara gani kwa wananchi, maanake ni wananchi wengi wameshafahamu haki zao na watatumia nguvi kudai na kuilinda haki zao kama tulivyoona kwenye majimbo mengi ya uchaguzi.
Peoples Power