Kuna Wakati mtu anakomaa kwelikweli kusaka ngono
Wakati mwingine katika kusaka ngono watu hutumia pesa mingi, mda mwingi au madaraka ili kutimiza tu haja hii
Lakini Ukweli ni kwamba ngono siyo ishu ngumu kupatikana namna hiyo, ngono siyo dili kiivo kiasi Cha kuzungushana na kunyanyasana na kuburusana, kiufupi ngono Ni Kama kivuli tu ambacho hatupaswi kubaniana kujibanza Wakati wa mvua na jua!
Aliye ifanya ngono ionekane ni dili ni yule aliyengundua mavazi. Saikolojia inatuambia kilichofichwa huhitajika zaidi kuliko kilichozagaa.
Asili ya ngono ni Kama kiu ya maji! Huhitaji kuzungushwa ili kupatiwa. Ndiyo maana baadhi ya makabila mgeni rafiki wa kiume akikutembelea kwako, Kama huna wake wengi, sharti umkabidhi mkeo amkarimu mgeni kitandani!
Penzi siyo jamboo kuubwa la kumfanya mtu awaze atalipata wapi. Inatakiwa mtu nyege zikikolea, apatiwe chapu apige gemu nakusepa!
Kiufupi ngono haipaswi kabisa kuwa Jambo la kuumiza kichwa. Ukitaka kuielewa mada hii waulize Malaya ambavyo ngono isivyowashtua mshipa wala kuitetemekea! hii inaashilia dhahili maisha tumeyafanya magumu wenyewe lakini Ukweli ni kwamba hatupaswi hata kuwaza juzi tulifanya ngono na Nani!
..IT IS JUST A MATTER OF HIT& RUN....
Wakati mwingine katika kusaka ngono watu hutumia pesa mingi, mda mwingi au madaraka ili kutimiza tu haja hii
Lakini Ukweli ni kwamba ngono siyo ishu ngumu kupatikana namna hiyo, ngono siyo dili kiivo kiasi Cha kuzungushana na kunyanyasana na kuburusana, kiufupi ngono Ni Kama kivuli tu ambacho hatupaswi kubaniana kujibanza Wakati wa mvua na jua!
Aliye ifanya ngono ionekane ni dili ni yule aliyengundua mavazi. Saikolojia inatuambia kilichofichwa huhitajika zaidi kuliko kilichozagaa.
Asili ya ngono ni Kama kiu ya maji! Huhitaji kuzungushwa ili kupatiwa. Ndiyo maana baadhi ya makabila mgeni rafiki wa kiume akikutembelea kwako, Kama huna wake wengi, sharti umkabidhi mkeo amkarimu mgeni kitandani!
Penzi siyo jamboo kuubwa la kumfanya mtu awaze atalipata wapi. Inatakiwa mtu nyege zikikolea, apatiwe chapu apige gemu nakusepa!
Kiufupi ngono haipaswi kabisa kuwa Jambo la kuumiza kichwa. Ukitaka kuielewa mada hii waulize Malaya ambavyo ngono isivyowashtua mshipa wala kuitetemekea! hii inaashilia dhahili maisha tumeyafanya magumu wenyewe lakini Ukweli ni kwamba hatupaswi hata kuwaza juzi tulifanya ngono na Nani!
..IT IS JUST A MATTER OF HIT& RUN....