Takribani masaa 3 yamepita tangu wananchi wa mji huu kushindwa kwenda sehemu mbali mbali za ndani ya mji na wengine kwenye shughuli za ujenzi wa taifa
Kuna mgomo unaendelea wa Daladala. Wahusika malizeni suala hilo mapema.
Msishangae ndo mji mkuu huo jamani
Kuna mgomo unaendelea wa Daladala. Wahusika malizeni suala hilo mapema.
Msishangae ndo mji mkuu huo jamani