Kinachoendelea Kenya kumbe Ulimboka ilikuwa sawa kushambuliwa

Ni rahisi kuongea maneno haya kama hujaona ndugu yako anakufa kwa sababu madaktari wamegoma. Rafiki yangu ambae sasa nae marehemu alipoteza watoto wake mapacha pale Muhimbili wakati wa mgomo wa madaktari walioongozwa na Dk. Ulimboka. Kwake yeye ungemuuliza sawa Ulimboka kuteswa pengine angekujibu bora wange mmalizia kabisa hao watesi wake.
Kwa nini asinge watibu mwenyewe watoto wake kama anaona udaktari ni kazi ya mchezo mchezo tuu.

Huwezi kufanya kazi kwa kunyonywa halafu kisingizio kiwe huruhusiwi kugoma huo ni ujinga tuu.
 
ndio gharama za mapinduzi,,wapo wataokufa,wataokuwa walemavu n.k maisha lazima yaendelee..tujiulize wamefikiaje huko?sababu ni zipi?
Dah...lakini siyo kufa kif ala hivi....yaani gharama ya marupurupu yako ndiyo igharimu maisha ya watu?
 
walimu walipwe vizuru, madaktari walipwe vizuri mambo ya ulimboka sijui bla bla gani hakuna.
Dah... ndiyo hasa wengi tunapenda iwe hivyo....lakini hawa wapiga dili, mafisadi na wala rushwa ndiyo wanaturudisha nyuma...tena safari hii wana chama chao cha siasa kabisa....
 
Kenya madaktari wameamua kuua watu kwa kugoma nchi nzima kuanzia zahanati mpaka hospitali kubwa ya Kenyatta .

Watu karibia 50 wamekufa ndani ya week moja kwa kukosa huduma .

Masikini watoto wadogo ndio wamekufa sana.

Wamama wanaojifungua pia wamekufa kweli.

Huu ni uharifu kwa hawa binadamu wasio na hatia, sasa nimeanza kuelewa kwanini kipindi kile Ulimboka watu walipata kumshugulikia kama mtu mmoja ili kuokoa maisha ya watu zaidi ya Milioni 50.

Kiukweli ni bora sometime mtu mmoja ashugulikiwe ili kuwaokoa watu wengine walio wengi.

Madaktari nchi nyingi wanalipwa pesa nyingi sana lakini wala hawaoni hatari kuitisha migomo isiyo na tija wakati walimu waliowafundisha wanalipwa mshahara kidogo kuliko wao .

Hawa watu ni sahihi wanatakiwa kushugulikiwa au kupelekwa kwenye mahakama ile ya uharifu wa kibinadamu ICC kama wanavyofanywa wanasiasa.
Sijui kama wewe ni great thinker! Do you know the rate of death in kenya?.Je unajua kwa nini wamegoma.Waliahidiwa kuboreshewa mishahara na huduma za vifaa tiba miaka mitatu iliyopita.Je unajua wabunge wa kenya wanalipwa shs ngapi!?.Usikimbilie kusifia ya ulimboka try to think twice!
 
Hapo ndio bongo za waafrica zilipokwama,unajiona wewe ni mnyonge ndani ya ardhi ya nchi yako!Kwa mchango wako sioni umuhimu wa uhuru tuliopigania,maana yake tumetoa mkoloni mweusi tumeweka mkoloni mweusi!Maana hayo unayosema yalifanywa na wakoloni,tofauti ni kuwa wao walifanya hadharani!
Ukombozi wa fikra ni muhimu zaidi,bila hivyo tutaendelea kuona mambo kama ya Burundi!
Tutii mamlaka kwa mambo ambayo ni haki na tumeyakubali kikatiba!
Mwalimu Nyerere alisema anataka taifa lenye vijana wa kupinga mamlaka kwa mambo yaliyo kinyume na maslahi ya taifa na wananchi kwa ujumla!Akasema ni ujinga kuwa taifa la vijana waoga!

Ok kwa ujasiri wako huohuo lianzishe mimi nikuunga mkono wala isiwe taabu maneno mengi ya nini?
 
Mnataka madaktari wadai vp haki zao sasa,japo inaniuma watu hawa kufariki lkni ndo ujue mpka hali imefikia kwnye mgomo ujue ni uzembe wa serikal kutoshughulikia mataTzo yao..KAMA MWAJIRIWA,THEY HAVE THE RIGHT TO STRIKE WHEN THEY FEEL THT THEY ARE NOT HEARD
 
Back
Top Bottom