Nimewapenda sana PCCB na shart kama taasisi zote zingekuwa kama hii haki ingetawala nchi hii,nimeshafanya interview nyingi sana nikagundua kwamba michakato yake huwa inatawaliwa na kutokuwa na uwazi,rushwa,upendeleo wa wazi,pamoja na mambo mengne meng ambayo hayafai,hawa jamaa kwa dalili nizionazo wamejaribu kujipambanua kuonesha tu uwazi!,mfano swala walilotangaza kwamba majibu watatoa wiki ijayo tena kwenye website yao na sio mahali pengne popote imenifanya nione tofaut ya wao na mahali pengne,kwakuwa mara nying kwa sehemu nying interview ikifanyika ukiulza majibu lin wanakwambia 'nenda utapigiwa simu',sasa jibu kama hili lina dalili ya kutokuwa na uwazi,na ukishaona hv ujue nyuma ya pazia kuna mengi