Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 422
Kumekuwepo na ukiukwaji wa maagizo ya rais ktk zoezi hili, kwa sasa imegeuka biashara.Mfano mzuri ni Biharamulo, watanzania wenye asili ya kinyarwanda wamekamatwa na kubambikiwa kesi, MF. Mzee Budugu, huyu hajui kusoma wala kuandika hata kujaza voucher ya simu hajui.
Walienda kumpekua kwake kama anahifadhi wanyarwanda wenzie hawakukuta mtu zaidi ya watoto wake na mkamwana wake wakamwambia twende ukaandikishe maelezo kuwa hatujakuta mtu kwako na alipofika polisi wakamuweka ndani.
Wamembakizia kesi ya kufadhiri kundi la M23, inasikitisha sana kwa uonevu huu.
Walienda kumpekua kwake kama anahifadhi wanyarwanda wenzie hawakukuta mtu zaidi ya watoto wake na mkamwana wake wakamwambia twende ukaandikishe maelezo kuwa hatujakuta mtu kwako na alipofika polisi wakamuweka ndani.
Wamembakizia kesi ya kufadhiri kundi la M23, inasikitisha sana kwa uonevu huu.