Kina Mama nao kumbe wanaweza!

Futota

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
521
87
Inapendeza sana namna hii.
Sasa waTZ tunaachana na "ujinsia", kumbe hata kina Mama udereva wa mabasi ya mkoani wanaweza!
Keep it up ladie
s :A S thumbs_up:
 

Attachments

  • NUSRA 1.jpg
    NUSRA 1.jpg
    12.6 KB · Views: 154
  • NUSRA.jpg
    NUSRA.jpg
    45.9 KB · Views: 121
Inapendeza sana namna hii.
Sasa waTZ tunaachana na "ujinsia", kumbe hata kina Mama udereva wa mabasi ya mkoani wanaweza!
Keep it up ladie
s :A S thumbs_up:

dada namkubali sana huyu anaendesha shabiby ya dom-dar...!!!mara nyingi watu humshangaa sana...!!
 
Alikuwepo mwingine akiendesha semi njia ya Mbeya hadi Zambia miaka ya 90, kwa sasa nasikia yupo mbele ya haki-rip
 
Pia msimsahau yule aliyekuwa akiendesha UDA. Mpaka Mabala akamtungia kitabu, Hawa, the bus driver.
 
dada namkubali sana huyu anaendesha shabiby ya dom-dar...!!!mara nyingi watu humshangaa sana...!!
kulikuwa na dada m1 anaendesha hayo mabasi miaka ya nyuma nilikuwa napenda sana kupanda gari analoendesha maana alikuwa makini sana akiwa barabarani, ilikuwa miaka ya 2002 kuendelea cjui km ndo huyo au alifungua njia.
 
Mi sipendi wale wanawake wanaowabeza wanawake wenzao wanaofanya kazi ya ukondakta.
 
Inapendeza sana namna hii.
Sasa waTZ tunaachana na "ujinsia", kumbe hata kina Mama udereva wa mabasi ya mkoani wanaweza!
Keep it up ladie
s :A S thumbs_up:

mie sijawahi kupanda, hebu niambieni ni shabiby lipi ili na mm nipate kupata nione namna anavyoendesha. ila ni jambo zuri kwani hata serikalini nimeona madereva wanawake wanaendesha magari ya serikali na treni japo sio wengi. uwatie moyo ili wanedelee
 
Arusha,kuna dada anaendesha bodaboda,anafunga biashara saa 12 jioni,na mchana hapaki zaidi ya dkk 10 lazima apewe shavu...anakula vichwa vibaya mno.....
 
Arusha,kuna dada anaendesha bodaboda,anafunga biashara saa 12 jioni,na mchana hapaki zaidi ya dkk 10 lazima apewe shavu...anakula vichwa vibaya mno.....

wanawake wa arusha mi nilishawanyoshea mikono. Hata kahaba humkuti kwake mchana amekaa kusubiria jioni. Ni wachakalikaji sana. I luv them and Mungu awaongezee nguvu. Natamani wangehamia huku wengi ili tupunguze umama wa nyumbani uliopo dar.
 
Back
Top Bottom