Kuna mtindo ambayo inatrend sana swala la kina dada kujilipia mahari ,
Swali ni kama dada unaeza msadia mpenzi wako kulipa mahari
Na wewe
Kaka unaeza kubali mpenzi wako kukulipia ama kukusaidia kulipa mahari
Nipe maoni yako
Kwa zama hizi swala la mahari ni utapeli wa wazi zaidi na upo kimslahi ni pata potato tu
Kuna mzee anasikikq akisema kijana akimuoa binti yake pasina kumtolea posa yaani ile sogea tukae na bahati nzuri mipango ya mungu ikatimia yule binti akafariki yule mzee anasema anakuozesha maiti kwanza alafu ndo wanazika