Hizi ndoto za mchana!! Sio CHADEMA nayoijua mimi
Alternative Government with Salim A. Salim
President: Salim A. Salim
Vice President: Prof. Baregu
Prime Minister: Wilbroad Slaa
Economy: Zitto Kabwe
Foreign Affairs: Halima Mdee
Constitutional Affairs (Sheria): Tundu Lissu
Local Gvt: Lwakatare...
Let us trust them and see... if we don't give the young and new blood chance, we 'll remain with CCM corrupt cronies! Tanzanians let us trust change.
Ukifuatilia kwenye vyombo vya habari utahsi kama Chadema itachukua madaraka hata kabla ya 2010 jinsi inavyotajawa.
ukiangalia ndani ya JF Utaona kama Chadema itachukua nchi baada ya uchaguzi jinsi inavyopambwa.
lkn kama utapita mikoa mingi nchini neno Chadema kwao kama almasi ya tanzanite inaopatikana mikoa ya kaskazini na kusafirishwa nje ya nchi na watz wengi kuona kwenye tv.
ndivyo ilivyo chadema, chama ambacho viongozi wake maarufu hawazidi 10 katika masikio ya watz lkn ikitajwa italeta upinzani mkali tz Jee huku chadema sio kidori cha dukani kianchowekwa mlangoni kinachovishwa suti ya gahrama kuwavutia wateja?
Ukifuatilia kwenye vyombo vya habari utahsi kama Chadema itachukua madaraka hata kabla ya 2010 jinsi inavyotajawa.
ukiangalia ndani ya JF Utaona kama Chadema itachukua nchi baada ya uchaguzi jinsi inavyopambwa.
lkn kama utapita mikoa mingi nchini neno Chadema kwao kama almasi ya tanzanite inaopatikana mikoa ya kaskazini na kusafirishwa nje ya nchi na watz wengi kuona kwenye tv.
ndivyo ilivyo chadema, chama ambacho viongozi wake maarufu hawazidi 10 katika masikio ya watz lkn ikitajwa italeta upinzani mkali tz Jee huku chadema sio kidori cha dukani kianchowekwa mlangoni kinachovishwa suti ya gahrama kuwavutia wateja?
Mzee wetu Mhe. FREDERICK SUMAYE atueleze nini kinaendelea kati yake na viongozi wakuu wa CHADEMA? Ni juzi tu tarehe 16 Juni majira ya sa 3.15 asubuhi maeneo ya Protea Hoteli iliyopo Oysterbay nilimuona kwa MACHO YANGU mheshimiwa huyu akiwa kwenye gari yake aina ya Landcruiser namba T634 AKN akipokelewa na vigogo wa CHADEMA akiwemo Mhe. MBOWE, DR. SLAA na aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA BOB MAKANI na kuelekea kwenye chumba cha mikutano. Walijifungia kwenye chumba hicho takribani saa mbili na zaidi hadi mishale ya saa 5.20 hivi asubuhi ndipo kigogo huyu alipoondoka eneo hilo. Uswahiba huu umeanza lini??
Nampa HEKO! Napenda kumweleza kuwa kama CHADEMA wamempenda basi atueleze tumpigie debe kwani hadi sasa CHADEMA haijawa wazi nani atagombea kinyangányiro cha kiti cha Urais mwaka huu wa uchaguzi. Pengine bado CHADEMA wanawinda majeruhi wa CCM??
Rai yangu kwa Mheshimiwa SUMAYE ni kwamba, haki kikatiba anayo inayomlinda katika upigaji na upigiwaji wa kura ila mzee, wenzio wa upande wa pili wanayo taarifa hiyo? Au unacheza rafu?
Namtakia kila lililo kheri kwenye mazungumzo yake kuelekea utekelezaji wa demokrasia.
Kuwa wazi, usijifiche una kila haki.
mimi, Chilomo Chiwale
Huyo Chilomo hana makosa kwani tayari Chadema walishatamka kuwa mgombea wao wa urais ni maarufu kwa rushwa kuliko wa CCM!Hapo hakuna ubishi,sasa hatujuhi ni kweli huyo jamaa aliyetajwa na Chiomo kuwa ndiye mgombea wa Chadema japokuwa sina hakika kuwa yeye ni mla rushwa!Chilomo Chiwale, hii sasa unaharibu, hata kama ni kweli uliyashuhudia hayo, hizo ni faragha za watu, umezileta hapa ili ama kumuharibia, ama kiharibia Chadema, kwani hata kama alikuwa analitafakari ombi lolote toka Chadema, na kabla hajafikia maamuzi, wakasikia limeibukia JF, si ata ghairi?.
Ndio maana kuna wakati mwingine, unasikia jambo, unashuhudia jambo, unalihifadhi mpaka upate uhakika.
Chilomo unawezekana wewe ukawa ni membe wa kundi la manyoka wa TISS, umetumwa kazini kwako kufuatilia, sasa unamfitinisha na Chadema ili kumuharibia mafao yake?!.
Sumaye ni mtu huru kama walivyo wengine ana uhuru wa kukutana na yoyote popote bila kuvunja sheria yoyote, hivi unajua hata Zitto ni rafiki na JK, ukiwaona wanacheka na kutembeleana, sio ndio utalianzisha Zitto huyooo...CCM.
CHADEMA ENDELEZENI MIKAKATI, SYSTEN ON OPARATION MPAKA NDANI YA JF!
chilomo, karibu sana jukwaani nimependa style yako uliyoingia nayo hope tutakuja na mengi zaidi. Karibu sana
ngoja ni kugongeeeee big senkyu.