Kimsingi sipokei mjukuu yeyeto

Kimsingi sipokei mjukuu yeyeto

Kimsingi nimechoka kulea wajukuu yaani unakuta mtoto wako anapata mtoto anakuja kumbwaga kwa Babu au Bibi yake alafu yeye huyo nduki.

Imefika hatua mbaka tunasomesha watoto wenu nyie mnadunda tu mwisho wa siku mkirudi pangu pakavu.

Mtoto anakosa malezi ya wazazi kwakutelekezwa kwa babu au Bibi yake, mapenzi ya mtoto yanapungua kwa wazazi wake sababu hamjali tena.

Asa nasemaje mimi nishakulea kwa nguvu zote na wewe lea watoto wako kwa age yetu asa hivi tuache tupumzike.

Sikatai wajukuu yapaswa wawe wanatutembelea kipindi cha likizo na sio kuwalelea watoto wenu mahitaji yenyewe hamtumi.kuzaa sio mashindano, shenzi type.
Babu na Bibi wamecharuka huko, naunga mkono hoja , kuna mda wazazi wanatakiwa kula maisha sio kurudia kufua nepi tena , kama unapeleka mjukuu ,peleka na mfanyakazi wazazi wabaki kama waangalizi
 
Mzee KUWA mpole utalipwa na MUNGU mzee VUMILIA mzee wetu. Mambo yakizidi UNGA wadondoshe kituo cha watoto yatima USIJE anza kukopa HUKU wazazi wanasubiri wakue WAJE kifua MBELE.
 
Sasa tupeleke wapi,,, eti kikongwe mchangamfu
 
Kimsingi nimechoka kulea wajukuu yaani unakuta mtoto wako anapata mtoto anakuja kumbwaga kwa Babu au Bibi yake alafu yeye huyo nduki.

Imefika hatua mbaka tunasomesha watoto wenu nyie mnadunda tu mwisho wa siku mkirudi pangu pakavu.

Mtoto anakosa malezi ya wazazi kwakutelekezwa kwa babu au Bibi yake, mapenzi ya mtoto yanapungua kwa wazazi wake sababu hamjali tena.

Asa nasemaje mimi nishakulea kwa nguvu zote na wewe lea watoto wako kwa age yetu asa hivi tuache tupumzike.

Sikatai wajukuu yapaswa wawe wanatutembelea kipindi cha likizo na sio kuwalelea watoto wenu mahitaji yenyewe hamtumi.kuzaa sio mashindano, shenzi type.
We babu kwanini usimwambie mwanao live ..unakuja humu unajuaje kma naye ni mwana JF
 
Back
Top Bottom