Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,763
- 27,160
Nimeona hizo video, yani huwa anaongea point sana sema tu kwa sababu upinde watu wanamdharau.Wanaona sifa kuzaa ovyo jana uncke t kawaambia zaa kulingana na kipato chako ntoto wa kwanza bahati mbaya na wapili tena uho ni upumbavu kabisa namfukuza
Jana kajisemea “umaskini unaongozwa na kuzaa hovyo”