Papillon 1906
Senior Member
- Jun 19, 2025
- 117
- 387
Kimsingi nimechoka kulea wajukuu yaani unakuta mtoto wako anapata mtoto anakuja kumbwaga kwa Babu au Bibi yake alafu yeye huyo nduki.
Imefika hatua mbaka tunasomesha watoto wenu nyie mnadunda tu mwisho wa siku mkirudi pangu pakavu.
Mtoto anakosa malezi ya wazazi kwakutelekezwa kwa babu au Bibi yake, mapenzi ya mtoto yanapungua kwa wazazi wake sababu hamjali tena.
Asa nasemaje mimi nishakulea kwa nguvu zote na wewe lea watoto wako kwa age yetu asa hivi tuache tupumzike.
Sikatai wajukuu yapaswa wawe wanatutembelea kipindi cha likizo na sio kuwalelea watoto wenu mahitaji yenyewe hamtumi.kuzaa sio mashindano, shenzi type.
Imefika hatua mbaka tunasomesha watoto wenu nyie mnadunda tu mwisho wa siku mkirudi pangu pakavu.
Mtoto anakosa malezi ya wazazi kwakutelekezwa kwa babu au Bibi yake, mapenzi ya mtoto yanapungua kwa wazazi wake sababu hamjali tena.
Asa nasemaje mimi nishakulea kwa nguvu zote na wewe lea watoto wako kwa age yetu asa hivi tuache tupumzike.
Sikatai wajukuu yapaswa wawe wanatutembelea kipindi cha likizo na sio kuwalelea watoto wenu mahitaji yenyewe hamtumi.kuzaa sio mashindano, shenzi type.