Kazi ya moyo ni kusukuma damu lakini..
Mi kwenye vinguo navyopenda kwa wadada kitenge hakipo...
we wapenda nini mwenzetu?
Mi kwenye vinguo navyopenda kwa wadada kitenge hakipo...
aiseeee hata ashoneje hupendi
Kabisa... hakinishtui
na wanawake kama sio wote huwa hawakosagi kitenge kabatin
na wanawake kama sio wote huwa hawakosagi kitenge kabatin
Mie mbona sina nguo ya kitenge kabatini
unautani na ndugu zangu wa kaskazini!!!
kimini uwe na mguu....subiri ukute mtu anatembelea mikono....
kimini uwe na mguu....subiri ukute mtu anatembelea mikono....
aiseee fanya utafute bhana ina umuhimu wake
sikubali kamwe kupitwa na fasheni kisa miguu. Mimi kwa kweli ni mkaskazini asilia - ninatembelea tuthpik lakini vimini na mimi, mimi na vimini. suruali kukiwa na baridi. mie kichwani kwangu najua nimependeza, sasa kama kuna watakaoangalia miguu wanakaribishwa. ndo yangu tena hiyo, aipende nani zaidi yangu?
sikubali kamwe kupitwa na fasheni kisa miguu. Mimi kwa kweli ni mkaskazini asilia - ninatembelea tuthpik lakini vimini na mimi, mimi na vimini. suruali kukiwa na baridi. mie kichwani kwangu najua nimependeza, sasa kama kuna watakaoangalia miguu wanakaribishwa. ndo yangu tena hiyo, aipende nani zaidi yangu?
mkuu suruwali na zenyewe zina matatizo, kuna mama mmoja jirani yangu hapa anapenda sana kuvaa suruwali, tena za kitambaa zenye kuachia mwili, lakini vipago vinaonekana tu aisee mtu akitembea havifichiki, tena vilivyofichwa partially ndiyo vinananogaje!