Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,654
- 40,253
Hebu soma bila kukurupuka mkuu sijasema bunge ndio limechunguza nimesema kamati iliyoundwa na bunge.
ok fine...
ilitumia kiasi gani kama gharama kuchunguza hio milion1
Hebu soma bila kukurupuka mkuu sijasema bunge ndio limechunguza nimesema kamati iliyoundwa na bunge.
Umesahau wewe ni mama yangu mzazi?
milioni moja au milion mia moja? Samahan lakin
Kumbe na wewe ni muumini wa udini?
sijawadharau wanafunzi maana hata mimi nimesoma chuo chenye migomo kuliko chuo chochote nchini, ila pointi yangu ni kuwa serikali nyingi za wanafunzi vyuoni ni mamluki wa vyama vya siasaKawaulize Tunisia ndio wanajua kama wanafunzi ni wa kupuuzwa kwa kigezo cha uanafunzi au la kwa taarifa yako wanafunzi ni jeshi la pili la nchi yoyote baada ya majeshi rasmi ya nchi na ni jeshi lenye nguvu zaidi ya majeshi ya dola. Sasa kwa mtu mwenye akili hawezi kizipa kisogo habari zinazohusu wanafunzi kwa sababu tu ni wanafunzi