Kimenuka: Mawakala wa forodha wameitisha mkutano wa wanachama wao

Mawakala wa forodha wameitisha mkutano wa wanachama wao kwa ajili ya kutafakari hatua ya serikali kuzifungia kampuni zao kwa maana hiyo wamewaita wanachama wao wote hali itakayosababisha wateja wao kuikosa huduma yao kwa siku ya kesho.

Umeambiwa watafunga ofisi zao?
 
Hawa jamaa waache kupiga kelele,waliambiwa na TPA wapeleke vielelezo je walipeleka?
Teh teh teh..yaani mgomvi wako unayeshitakiana naye anakwambia umpelekee ushahidi utapeleka?bora wangesema wapeleke mahakamani...maana kuna mawakala walikuwa wanalipa TPA wanapokea pesa wanaruhusu mzigo kisha wana reverse transaction ...sasa aloiba hapo ni agent au staff? Yataibuka mengi sana...
 
Kampuni 127 zimelipia tayari au kuthibitisha kwa ushahidi kuwa walilipa na hivyo wameruhusiwa kuendelea na kazi.
Bakhersa, METL na Cargo Star wamesafishwa kuwa majina yao yalichapishwa kimakosa.

Lakini pia TAFFA na wamekubaliana na serikali kuunda tume kuchunguza kwa kina nini kilitokea ili kuziba mianya ya ukwepaji kama huo kwa siku zijazo. Benki, TPA na TRA zitachunguzwa pia.
Kama imethibitishwa wamelipa hiyo pesa imeenda wapi? Maana kisa cha kuwasimamisha ni kuwa pesa imeonekana haijalipwa...wapigaji wa TPA na TRA ndo wamekula...wasitafute mchawi nje wakati wanaye ndani..
 
Zingekua kampuni za uzalishaji halafu zikatangaza mgomo basi hapo kungekua na direct impact ya uchumi wa nchi but service providers? Aaaah; mkwere kweli alikua sio mlezi mzuri, yaani matoto yanadeka hadi inatia KINYAA! someni tu namba cause nina hakika nyingi za hizo kampuni zilikua zinafadhiri sana chama
 
Teh teh teh..yaani mgomvi wako unayeshitakiana naye anakwambia umpelekee ushahidi utapeleka?bora wangesema wapeleke mahakamani...maana kuna mawakala walikuwa wanalipa TPA wanapokea pesa wanaruhusu mzigo kisha wana reverse transaction ...sasa aloiba hapo ni agent au staff? Yataibuka mengi sana...
Yaibuke tu,ikiwezekana waende mahakaman ila kwa sasa wao ndo wameonekana wakosaj,mahakama itawasafisha!!!
 
We waache tu

Wakijaribu wataisoma namba kikwelikweli!

Over!
Ni ujinga kuwa na watu wenye mawazo kama yako, labda nikukumbushe wakati ule wa mgomo wa Madaktari serikali ilijifanya mbabe na kutamka kuwa itatumia wanajeshi kutibu wagonjwa pale Muhimbili kilichotokea hakielezeki kwa vifo vilikuwa maradufu hivyo kuliangalia suala hili katika mawazo mfu kama ya kwako tutarajie madhara makubwa kwa nchi hususani katika suala la uchumi.
 
Wanajipotezea muda tu kama wanategemea wataweza kuichimba biti serikali iyafungulie yale makumpuni 210 bila ya kupeleka risiti zao TRA.

Kwani yale makampuni 210 wamefungiwa na serikali?
Kwa kukujulisha tu, wamezuiliwa kuingiwa Bandarini, mpaka watakapopeleka risiti za malipo waliotelea mizigo bandarini. Hakuna issue ya TRA hapo
Sasa kama mzigo umepita magetini, tatizo ni TPA au Makampuni ya uwakala. Tafakari!
 
....kuna nyaraka walitakiwa kuziwakilisha WAKASHINDWA!
zilizokuwa zikionyesha rekodi mbalimbali za malipo!/
hawa ni jipu/
to should be erased!
 
Hata hao waliofungiwa ni wazalendo kuliko wewe .

Tatizo hamlijui mnarukia mada tu

Hwa wanadai walilipa na wengine risiti wanazo ila wanadai kuna mchezo katikati ulichezwa na wajanja .baadae wakabambikiwa wao .

Iv kwa sasa watanzania kufanya vikao vyao ni tatizo ?

Kwa mfano waalimu wakiwa na madai yao na wakakutana ni tatizo .?kuna vitoto vinaumbya humu jf
daa bora umeliona hilo, umbeya umbeya na kurukia mada na wengine hawajui mawakala kazi zao ni nini na wamefungiwa kwa lipi, uhalali wa kuwafungia ni upi na anayetakiwa kulipa ni nani, hawajui hawajui , ni ujinga ujinga na kukurupuka
 
Hili ni li awamu la kukurupuka kurupuka, magufuli atashindwa very soon, apunguze dharau na kujiona anajua kilakitu, jiulize kipi kilochoshusha mapato mwez january From 1.5 to 1 trillion
Wenzako wanaenda kati wewe unaenda pembeni, subiri hapo kama fisi ukidhani mkono utaanguka!
 
Walipe under protest then waende kortini haki itendeke. Wengi wao ni vimeo hawa. Hata mtu akiagiza kigari chakavu kwa vihela vya kubangaiza lazima wakuingize mjini. Wanasingizia TRA. Wajuzi sana kufoji invoice ya aina yoyote.

Kitu ambacho kinaniacha na maswali, ni kwa nini wasiende bank walikolipa awali kuprove payment zao kama TPA wanasema hawakulipa? Nadhani ni haki yao kupata documents bank kama wateja wao. Bank wanakumbukumbu za miaka kumi ya nyuma na hilo lipo kisheria.
Kusema hawa ni wezi ni stereotype au sawa na kusema (mfano) 'wachaga wote ni wezi' au 'wafipa wote ni wachawi', 'wahaya wote ni malaya' nk nk.
Hapa wizi unaoongelewa ulifanywa kati ya bandari kwa kushirikiana na mabenki ambazo wamepewa kazi na bandari kuwakusanyia pesa. Kwa wale waliolipa in cash wanatuhumiwa kwamba walikula dili na cashier wa bandari wakagawana pesa kitu ambacho wa kulaumiwa ni bandari (japo haiwezekani na haikufanyika hivyo), lakini kuna kampuni zililipa kwa cheque, TT na hata bankers cheque na pesa zao hazikufika bandarini na wakikueleza walivyo zidroo hizo cheque ndio utajua hii nchi ilikuwa imeoza kiasi gani!
Possibly clearing agents ni wadanganyifu kama watanzania wengine lakini katika hili sakata ni innocent kwa 100%.
 
Hili ni li awamu la kukurupuka kurupuka, magufuli atashindwa very soon, apunguze dharau na kujiona anajua kilakitu, jiulize kipi kilochoshusha mapato mwez january From 1.5 to 1 trillion
Wewe utakua jipu
 
Back
Top Bottom