La ahsante ngoja niendelee kula JF hadi saa 2 !Jamani mmeiona foleni Mandela road.hakufai yani haisogei michepuko ya magari nayo imeshika hatamu malori tu ndo yamebaki njia kuu.shidaaaaaaa
Ha ha ha ha!!! Nimeipenda hii??? Is Dar es Salaam's famous road!!!!! Tumesahau JF is worldwide forum!!! Na hata kuna Kenyan Forum kabisa!!! Welcome!!ipo wapi hiyo mandela road?maana watu wa jf wanadhani wote tunaishi dar tanzania!
Obama wa bongoipo wapi hiyo mandela road?maana watu wa jf wanadhani wote tunaishi dar tanzania!
Jamani mmeiona foleni Mandela road.hakufai yani haisogei michepuko ya magari nayo imeshika hatamu malori tu ndo yamebaki njia kuu.shidaaaaaaa
La ahsante ngoja niendelee kula JF hadi saa 2 !
.... Wewe uko wapi mbona mi niko huku kweupeeeeeeeeeeeeeeeee
Jamani mmeiona foleni Mandela road.hakufai yani haisogei michepuko ya magari nayo imeshika hatamu malori tu ndo yamebaki njia kuu.shidaaaaaaa